Geechie
JF-Expert Member
- Oct 26, 2015
- 977
- 760
Huyu alielipia kipindi kirushwe live cha harusi yake..nae achunguzwe..a
Kama kuna majipu yatumbuliwe haraka sana
Ni sangoma kama yule Wa pale Ilala bungoni alieibukiwa na naibu waziri
Huyu alielipia kipindi kirushwe live cha harusi yake..nae achunguzwe..a
Kama kuna majipu yatumbuliwe haraka sana
Ulitaka irushe nini? Nyinyi tu na TBC yenu, mimi sijui hata kama hiki king'amuzi cha Azam nilichonacho kina channel hii,Labda ni mjini tu mnapata!!!!Dah hata mimi nimeona na imenisikitisha...... TBC nalo ni jipu kaka nape baba magufuli hebu litumbueni
Wewe unanitosha. afu leo uje tumalizie kale kamchezo ka mwisho tulikobakisha.
Sa ka yuko vile, mwanamke mzuri vile kamtoa wapi Pasco?
anatumia Sabuni ya roho!.Swali of the day............
Hebu njoo wozap fasta nikuambie kitu kizuri.Sawa babu tufunge na mwaka kabisaa
Shem niko Uwanjani...Messi na Suarez wanatukabidhi kombe la tano dakika tano zijazo/Ilikuwa harusi ya nani ?
Mekumiss....... ushapanda shem au bado uko jijini?
Mshana mkurugenzi wa TBC ni JIPU.. lazima afungashe virago
Aisee ni kweli!Si umeona mzee wa IPP? Mzee ana 60+ years kaoa mtoto mkali wa miaka 20+ na kamdunga mimba fasta fasta. Na mimba kamdungia Mamtoni sio bongo!Daaah!anatumia Sabuni ya roho!.
Hivi mliocomment wote mmeelewa kinaongelewa nini au ndio kawaida ni kucomment tu hata kama HAUJAELEWA!!MIE NIMETOKA KAPA NA SIJUI NINI KINAENDELEA.
hiyo ndio kila kituaisee ni kweli!si umeona mzee wa ipp? Mzee ana 60+ years kaoa mtoto mkali wa miaka 20+ na kamdunga mimba fasta fasta. Na mimba kamdungia mamtoni sio bongo!daaah!
Aisee kumbe jana watu mli enjoy sanaaa
200m imeingia tbc nyinnyi mnaleta soga hapa
DKT JK BUBERWA,Aliipania sana harusi hii