Kaka kb52 jaribu kujichunguza. Usije ukawa kama mwanamke ambaye hajaolewa lakini anamwomba Mungu apate mtoto. Mungu pia ana principles, ambazo hata kwa logic za kibinadamu ni sahihi. Kwani waweza kuvua samaki baharini kwa chekeche ya unga?Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...
Kaka kb52 jaribu kujichunguza. Usije ukawa kama mwanamke ambaye hajaolewa lakini anamwomba Mungu apate mtoto. Mungu pia ana principles, ambazo hata kwa logic za kibinadamu ni sahihi. Kwani waweza kuvua samaki baharini kwa chekeche ya unga?Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...