Hii ni controlled demolition .......TB Joshua mwenyewe anasema haiwezekani structural failure alafu hadi AC na friji zilizokuwemo kuwa unga kabisa........makosa yanaweza kufanyika kwasababu chenye mikono ya binadamu hakikosi makosa lakini kwa case hii kuna kitu cha ajabu kimefanyika ........muda utaongea .....