TB Joshua akamatwa!

Status
Not open for further replies.

KING KOBRA;Pole sana. Mtume Yohana anaandika kwenye kile kitabu cha Injili ya Yohana kuwa kuna mambo mengi tu aliyoyafanya Yesu na kama yote yangeandikwa vitabu vyote visngeliwezekana kuhifadhiwa.
Kama ni mahali palipo andikwa ambapo Mungu alikusanya watu (aliruhusu) watu wakusanyika halafu akaruhusu wauawe wote ni sehemu nyingi tu katika bublia ila nakikumbuka kisa kimoja cha Samson Mnadhiri wa Mungu. Baada ya toba yake na kilio chake, Mungu alimrudishia nguvu zake ili awaue Wafilisti (Wapalestina wa leo). Walikuja kumdhalilisha Samson. Neno la Mungu linasema, watu alio waua Samson siku hiyo moja tu walizidi wale alio waua wakati wa nguvu zake. Hio si moja tu katika habari za neno la Mungu kuonesha kuwa Mungu hazuiwi na lolote.
Nikuulize swali lingine la kizushi tu; Tuseme weye Mungu wako asingeweza kuzuia hayo yasitokee? Kama angeweza, mbona aliruhusu? Usicheze na uwezo wa Mungu.
 
hahahaha una macho au matoke? hahaha hukuona kuwa kanisa ndo linafurika mara dufu saivi hahaha, wageni ndo hadi booking ipite ni miezi hahahaa. eti imefikia ukomo au wewe macho yako yamefikia ukomo?

POLEEEEEE!!!!!!! Endelea kujidanganya!!!! Hata Babu wa Loliondo alisema kwamba umati wa kutisha zaidi ungekwenda kwake tena. Mpaka kesho, hilo halitakaa litokee tena! Huduma ya Joshua ilijengwa kwenye mchanga: Kutabiri maafa!!!! Nani mjinga atakayemsikiliza tena Joshua akitabiri maafa, baada ya Jengo lake mwenyewe kuanguka na kuua watu 115, bila Joshua mwenyewe kutabiri juu ya hilo kabla???? Ni wewe tu kibaraka wake!!!! Huduma ya TB Joshua kwa kuwa ilitoka kwa Ibilisi, imefikia kikomo, kama huduma za Theuda na Yuda Mgalilaya, katika Biblia (MATENDO 5:36-37). Thread na post zako nyingi hapa, haziwezi kusaidia: "Tazama yuavunja, wala haiwezekani kujenga tena" (AYUBU 12:14).
 
Usiseme kuwa kuna mahali kama kweli wewe ni mwanafunzi wa Yesu weka andiko hapa tusome !!!
Unaficha nini ??
 
Weka andiko hapa maana bila andiko utakuwa utakuwa unatapeli tu watu hapa!!
 
Nebukadreza naye alikuwa Mtumishi kama TB
Sasa Ngome ya bibeli inapigwa!!!
 
TB Joshua anapigwa bakora hapa Mwenye masikio na asikie!!!!

[h=2]Hakuna dawa , TB Joshua na kazi zake za uongo lazima zikome [/h]Babeli ina pigwa viboko Ulimwengu ujue kuwa hapo palikuwa chukizo la uharibifu na siri nyingi zitaibuka
[h=2][/h]

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…