Naomba msaada tatizo la kusoma line kwenye Nokia E7-00

Naomba msaada tatizo la kusoma line kwenye Nokia E7-00

kolongotitu

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
222
Reaction score
157
Msaada anayejua namna ya kutumia simu aina ya nokia E7-00 designed in finland tatizo linalonisumbua nikiweka laini haisomi inaandika offline

Karibu wakuu kwa msaada
 
zima simu then ukiwa unawasha itakuuliza continue using offline mode chagua NO
 
zima simu then ukiwa unawasha itakuuliza continue using offline mode chagua NO

ahsante mkuu nimefanikiwa lakin mtandao bado unasumbua na nikimpigia mtu inaniandika FOR EMERGENCY CALL ONLY na mtandao unasoma 3G
 
ni kweli leo tigo inasumbua kwangu mm inasoma ila mtu akinipigia sipatikani
 
mm kwangu internet inasoma vizuri tu kama ww 3g ila sms haziendi wala simu si pigi wala nikipigiwa sipatikani kila mtu analalamika
 
Back
Top Bottom