wanguwangu
New Member
- Jun 5, 2008
- 4
- 0
Driver wa Daladala anasimama kwenye mataa ya TAZARA huku akinywa maji na kutupa chini chupa ya maji. Mara anajitokeza Mwana-Mazingira anaenda kwa dereva yule na kuchomoa funguo wa gari.
Daladala imebaki kati ya barabara na ufunguo anakimbia nao huyo Mwanamazigira. Sote tulio nyuma ya Daladala tunapiga honi lakini kumbe kanyan'ganywa funguo; Je huo ni uungwana! Hamna namna ya kuwashughulikia wachafuaji wa mji vizuri zaidi?
Nyang'anya funguo wakati ameweka gari pembeni basi na umkadirie kiasi cha faini.
Tutafika?
Daladala imebaki kati ya barabara na ufunguo anakimbia nao huyo Mwanamazigira. Sote tulio nyuma ya Daladala tunapiga honi lakini kumbe kanyan'ganywa funguo; Je huo ni uungwana! Hamna namna ya kuwashughulikia wachafuaji wa mji vizuri zaidi?
Nyang'anya funguo wakati ameweka gari pembeni basi na umkadirie kiasi cha faini.
Tutafika?