Tazara Flyover...!

Hili ni daraja la "presitige" tu kama ni foreni no work done....kwanza ni fupi sana kuzuia magari kutokana......mita kadha kuna mataa ya traffic mara 3. kuelekea uwanja wandege ambayo yatafanya magari ya subiriane tena.
 
Kwa kua wameacha nafasi kwa ajili ya mabasi ya mwendokasi itasaidia pakubwa watu kufika vibaruani na nyumbani mapema.. RRONDO achana na hao wahandisi mwitu kwao hamnaga jema hata ingejengwa kama wanazopendekeza wangekuja na utumbo mwingine
 
Hili ni daraja la "presitige" tu kama ni foreni no work done....kwanza ni fupi sana kuzuia magari kutokana......mita kadha kuna mataa ya traffic mara 3. kuelekea uwanja wandege ambayo yatafanya magari ya subiriane tena.
Na isitoshe ukishafika Majumba 6 foleni inaanza upya ukizingatia kule banana kuelekea ukonga barabara ni njia moja can u imagine wingi wa magari yanapita tazara kwenye fly over then yaje kukutana Vingunguti,Jet,Aiport,Njia panda ya segerea then banana doooh...hope walioamua kujenga hilo dude wamethink Positive
 
Kwa kua wameacha nafasi kwa ajili ya mabasi ya mwendokasi itasaidia pakubwa watu kufika vibaruani na nyumbani mapema.. RRONDO achana na hao wahandisi mwitu kwao hamnaga jema hata ingejengwa kama wanazopendekeza wangekuja na utumbo mwingine
We sasa unaleta siasa....
 
Unaweza kuwa sahihi lkn effectiveness itakuwa ndogo sidhani kama kutakuwa na significant change, ngoja tuone.
 
Hili ni daraja la "presitige" tu kama ni foreni no work done....kwanza ni fupi sana kuzuia magari kutokana......mita kadha kuna mataa ya traffic mara 3. kuelekea uwanja wandege ambayo yatafanya magari ya subiriane tena.
Hii ni negativity.
 
"Rushing for political fame" au kukurupuka, bila upembuzi ya kinifu kubaini haswa chanzo na muendelezo wa foreni katika sehemu hiyo. Ndo ungojwa wetu wa Tz
 
"Rushing for political fame" au kukurupuka, bila upembuzi ya kinifu kubaini haswa chanzo na muendelezo wa foreni katika sehemu hiyo. Ndo ungojwa wetu wa Tz
Wewe unaamini Japan wametoa huo mkopo/msaada bila kupitia au wao kufanya upembuzi yakinifu wao? Hivi kwanini tunapenda kujifanya tuna akili kuliko hata wataalam wanaotekeleza hio miradi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…