Tazama Picha hii kisha jibu maswali

big-diamond

JF-Expert Member
May 23, 2009
422
553
1. Hii ni picha ya aina gani?

2. Eleza aina ya hali ya hewa ya eneo hili?

3. Taja mazao matatu yanayoweza kulimwa kwenye ukanda wenye iyo hali ya hewa?

4. Jadili vitu vitatu unavyoviona kwenye picha hii, ukielezea umuhimu na madhara yake.

MUDA: Masaa Matatu
Screenshot_20180906-212756.jpg
 
1. Horizontal Photograph
2. Tropical rain forest
3. Coffee, Cocoa and Banana.
4. (i)Kiba100, madhara yake hakifai kuungwa kwenye mchuzi. Faida ukigegedea unazalisha kama kawa kama mwenye hogo.
(ii) Kitambi, madhara yake kinafanya usiwe flexible. Faida kinakufanya uonekane Don.
(iii) Majani mengi, madhara yake yanakufanya usiyaone mazingira ya mbali hivyo kukufanya iwe rahisi kushambuliwa na adui. Faida yanakukinga na jua na mvua.
 
1. Hii ni picha ya aina gani?

2. Eleza aina ya hali ya hewa ya eneo hili?

3. Taja mazao matatu yanayoweza kulimwa kwenye ukanda wenye iyo hali ya hewa?

4. Jadili vitu vitatu unavyoviona kwenye picha hii, ukielezea umuhimu na madhara yake.

MUDA: Masaa MatatuView attachment 859313

"Pale unapofika mbiguni na unakuta pia kuua mbu ni dhambi kubwa " ndo pozi utakalo weka hilo
 
1. Horizontal Photograph
2. Tropical rain forest
3. Coffee, Cocoa and Banana.
4. (i)Kiba100, madhara yake hakifai kuungwa kwenye mchuzi. Faida ukigegedea unazalisha kama kawa kama mwenye hogo.
(ii) Kitambi, madhara yake kinafanya usiwe flexible. Faida kinakufanya uonekane Don.
(iii) Majani mengi, madhara yake yanakufanya usiyaone mazingira ya mbali hivyo kukufanya iwe rahisi kushambuliwa na adui. Faida yanakukinga na jua na mvua.
umetisha mkuu
 
1. Horizontal Photograph
2. Tropical rain forest
3. Coffee, Cocoa and Banana.
4. (i)Kiba100, madhara yake hakifai kuungwa kwenye mchuzi. Faida ukigegedea unazalisha kama kawa kama mwenye hogo.
(ii) Kitambi, madhara yake kinafanya usiwe flexible. Faida kinakufanya uonekane Don.
(iii) Majani mengi, madhara yake yanakufanya usiyaone mazingira ya mbali hivyo kukufanya iwe rahisi kushambuliwa na adui. Faida yanakukinga na jua na mvua.
Umetisha hasa 4(i) hasa kwenye faida ,,,kumbe hogo ni ziada tu!!
 
Back
Top Bottom