Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mytake:
Kila mtu apambane na hali yake.
Huko ndiyo kabisa bora Uwe mjasiriamali na mfugajiAisee! Acha niwekeze kwenye kilimo
Hiyo ipo kwenye mpango wa maendelea wa miaka 5, 2015 - 2020. Kupunguza matumizi yasiyokuwa na ulazima kwa kufanya uhakiki na kuwaondoa watumishi hewa!!Sera ya taifa inasema viwanda ilani ya sisiemu inasema viwanda hii ya uhakiki imeandikwa kwenye Sera au ilani viwanda havitekelezeki tumehamia kwenye uhakiki kila kukicha pesa zinatumika hapo
Haipo kwenye sera wala ilani imezuka tu ghafla itawaumiza watanzania wengi ingekuwa nzuri tungeanzia hapo kwa wanao ajiriwa sasa itapoteza haki nyingi za watu waliotumikia taifa hili kwa uaminifu kwa muda mrefu vyema serekali yetu ikatumia busara katika maamuzi yataathiri watumishi wengiHiyo ipo kwenye mpango wa maendelea wa miaka 5, 2015 - 2020. Kupunguza matumizi yasiyokuwa na ulazima kwa kufanya uhakiki na kuwaondoa watumishi hewa!!