Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Leo ni siku ambayo imekuwa busy sana wakuu, huku watu wanatekwa huku wengine wanazuilwa mahakami yani imekuwa tafrani. CCM kama inajiamini kwa nini inafanya haya yote? Kwanini wasitulie
===
Kiongozi wa ACT Wazalendo Dorothy Semu amezuiliwa kuingia kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam alipofika Mahakamani hapo kwa ajili ya kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu
Jambo TV imeshuhudia kiongozi huyo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) akiwa kwenye majibizano na maafisa wa Jeshi la Polisi kwenye viunga vya Mahakama hiyo
Soma
===
Kiongozi wa ACT Wazalendo Dorothy Semu amezuiliwa kuingia kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam alipofika Mahakamani hapo kwa ajili ya kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu
Jambo TV imeshuhudia kiongozi huyo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) akiwa kwenye majibizano na maafisa wa Jeshi la Polisi kwenye viunga vya Mahakama hiyo
Soma