acha kudanganya watu,unaweza ukatumia computer yako kwa kupost chochote humu na ikashindikana kukupata, mimi ni telecom engineer na ninauzoefu wa networkng miaka 7
wale wale wa kanyigo.., mwanangu kamugisha ana umri wa miaka mitano anaendesha vogue yangu vizuri sio wewe mtu mzima na bado haujui kuendesha gari.....,
Mbaya zaidi hakuna anyejua kama wale wanyama wanapata matunzo mazuri
kama wangepata matunzo mazuri tausi wasingekuwa wanashinda southern sun kudowea chipsi pale kwenye wiming pool au wasingekuwa wana wamekonda kama huyo hapo juu...yaani maskini ya mungu kabaki kichwa tuu bas!
Salva tunakuomba uwape chakula hawa tausi tafadhali hebu mwogope muumba
USA kila mambo mengi ni open,maana wanajiamini na wanachukulia ikulu kama ofis nyingine za serikali,ila kwa nchi kama hii tanzagiza,huwezi ona kitu,maana wana woga,then wana weakness nyingi sana ambazo wanahofia wa2 wakizijua itakuwa ni aibu