George Smiley
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 471
- 266
Wana JF tazameni ikulu ilivyokuwa accessible...hakuna kuficha majina ya staff wa ikulu na kazi zao...hii ndio transparency na democracy at work.
Last edited by a moderator:
sie wameamua kuziba kila kitu huwezi kuona hata wanavyotesa wale wanyama mle ndani...wale tausi wanajaa kutwa nzima wanashinda Southern Sun
sasa jiulizeni kama wanaweza kuwatesa wale Tausi na njiwa ndio watashindwa binaadam?
btw
nani jana alikuwepo kwenye mnuso?
sie wameamua kuziba kila kitu huwezi kuona hata wanavyotesa wale wanyama mle ndani...wale tausi wanajaa kutwa nzima wanashinda Southern Sun
sasa jiulizeni kama wanaweza kuwatesa wale Tausi na njiwa ndio watashindwa binaadam?
btw
nani jana alikuwepo kwenye mnuso?
hahahahaaa!!
Tausi nao wanapenda chips kuku na mazagazaga ya maana, sio kila siku maharage tuuu!! Wanaamua kwenda zao southern sun angalao wanaweza kubahatisha burger.
Wanasiasa wana msemo 'HATUJAFIKIA HUKO' Yaani level ya kuwa transparent hivyo. Tofauti kubwa kati ya wenzetu na sisi ni kuwa wenzetu wanafanya siasa ili historia iwakumbuke kwa mazuri waliyoifanyia jamii, sisi tunafanya siasa ili mkono uende kinywani.
Unapokuwa umechaguliwa na wananchi na pia wananchi haohao kuwa na nguvu ya kukuacha uchaguzi ujao, IKULU si mahala pa kudumu na kupafungafunga ila ni mahala pa kuonesha wananchi jinsi serikali yao ilivyomakini. Ila unapokuwa na mtu anayetiliwa shaka ushindi wake kuwa amechakachua basi ni lazima mambo wayapeleke undergroung. Yaani Tanzania watu wanaona IKULU ni mali ya wateule wa CCM, wakati wenzetu ikulu ni mali ya wananchi.
Tazama Ikulu ya Marekani inaongozwa na vijana wadogo sana, katibu muhtasi wa raia ana miaka 28, sisi huku kwetu hupewi nafasi hiyo mpaka uwe na uhusiano na mtu na mtu huyo awe na uhusiano na mtu halafu TISS wakuchunguze kuanzia ulipobebewa mimba mpaka ulivyo sasa hivi na wakati mwingine wanaambulia stori za majungu. Unapokuwa unazunguukwa na wazee IKULU basi akili zako zinakuwa goigoi.
Ni kweli rais anatakiwa kupewa ulinzi wa hali ya juu kwani si wote watakaonufaika na maamuzi yake hasa katika nchi inayoongozwa na mtu mmoja mwenye nguvu za ajabu kikatiba kama Tanzania, nafikiri ni wakati sasa wakajiweka pembeni wawaachie vijana waipeleke nchi kule wanakoitaka.
Bado wale wanyama wengine nao hamkawii kuwakuta kigamboni
Haaahahahaa umeniacha hoi, wale Tausi wanashinda Southern Sun shauri ya njaa?? na kiu? Mkuu hiyo kali Loh!
Mbaya zaidi hakuna anyejua kama wale wanyama wanapata matunzo mazuriwanyama wamezoea harufu ya nyikani sasa wao hata hawatambuani kwa kunusana wote wanuka samaki hati!! ukila nyama ya sawa sawa na kula samaki