Mkuu umetoa jibu sahihi kwa wakati sahihi kabla wapotoshaji hawajawasili kumfitini jembe Jafo.Mbona hapo anaonekana Mh. Waziri anaangalia chini akiwa anaandika?
Nadhani wewe utakuwa wa ajabu zaidi. Sasa mleta uzi atajuaje vigezo vyako ili uzi utimie? au atajuaje wewe unafikiri hadi mipaka ipi?Huo tayari ni uzi? Jf kuna watu wa ajabu sana kwenye forum hii.