Tayari sitta kaonyesha udhaifu mkubwa

Tayari sitta kaonyesha udhaifu mkubwa

rwazi

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2011
Posts
230
Reaction score
46
Wapendwa wadau wenzangu ,nimekuwa na wasiwasi mkubwa baada ya kusikia sitta akichomekea kwenye hotuba ya raisi ya kupinga rasimu bila woga, kitu ambacho siyo chakawaida cha kuingilia na kuchomekea maneno. Binafsi sijawahi sikia na kuona kitendo kama hiki,sasa inaonyesha wazi kuwa ile hotuba waliipanga pamoja.Najiliuza kuna hajagani ya kuendelea na mtua, ambaye ameonyesha anaegemea upande mmoja
 
Ni kweli kabisa, Sita alikuwa anachomekea maneno na kushabikia wakati JK anazungumza. Mungu aliufichua unafiki wake, alifikiri kwamba MIC yake imezimwa, kumbe ilikuwa ON, na maneno yale yote aliyokuwa anayachomekea na kumwelekeza JK ayaseme, yakawa yanasikika vizuri kwenye TV. Sita ni mnafiki na mtu hatari sana!!!!!!!!!!! Alikuwa anazungumza maneno ya kutisha, huwezi kuamini ni Mwenyekiti. Mtu wa namna hii, kibaraka wa JK, atalitendeaje haki Bunge la Katiba?????
 
Ni kweli kabisa, Sita alikuwa anachomekea maneno na kushabikia wakati JK anazungumza. Mungu aliufichua unafiki wake, alifikiri kwamba MIC yake imezimwa, kumbe ilikuwa ON, na maneno yale yote aliyokuwa anayachomekea na kumwelekeza JK ayaseme, yakawa yanasikika vizuri kwenye TV. Sita ni mnafiki na mtu hatari sana!!!!!!!!!!! Alikuwa anazungumza maneno ya kutisha, huwezi kuamini ni Mwenyekiti. Mtu wa namna hii, kibaraka wa JK, atalitendeaje haki Bunge la Katiba?????

Mkuu umesema ukweli, mungu aliwafichua wanafiki,tangu lini raisi akaelekezwa na mtu maneno ya kuonge wakati ana hutubi au kuongea, huku kujiamini sita kakutoa wapi
 
mkisikia watu wameingia msituni, wala msishangae, ile hotuba ya mtu wa ccm imenitia ujasiri sana! Sidhani km kuna nia ya dhati ya kutengeneza katiba
 
Ni kweli kabisa, Sita alikuwa anachomekea maneno na kushabikia wakati JK anazungumza. Mungu aliufichua unafiki wake, alifikiri kwamba MIC yake imezimwa, kumbe ilikuwa ON, na maneno yale yote aliyokuwa anayachomekea na kumwelekeza JK ayaseme, yakawa yanasikika vizuri kwenye TV. Sita ni mnafiki na mtu hatari sana!!!!!!!!!!! Alikuwa anazungumza maneno ya kutisha, huwezi kuamini ni Mwenyekiti. Mtu wa namna hii, kibaraka wa JK, atalitendeaje haki Bunge la Katiba?????
Utaipata fresh ndani ya hilohilo Bunge. Mungu hadhiakiwi.
 
Hivi wajumbe wa bunge la katiba wanaruhusiwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na mwenyekiti wa bunge hilo?
 
Back
Top Bottom