palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Napenda kujua kama kuna tawi la chadema uingereza na kama lipo nipate mawasiliano.
Napenda kujua kama kuna tawi la chadema uingereza na kama lipo nipate mawasiliano.
Hawa ndio Makamanda wa Chadema Marekani wanacheza viduku...
Acha wivu kaka
Hawa ndio Makamanda wa Chadema Marekani wanacheza viduku...kuna mmoja mwanaume kavaa hereni..
Tunamshambulia bure baharia Will..kumbe wengi wakifika Marekani wanakuwa watumwa wa kiakili.
Huu mtandao wa kuwa na matawi mpaka Uingereza tusipokuwa makini tunaweza kujikuta tumerudi kwenye ukoloni!
WAcha woga kamanda, mbona tayari wewe hupo kwa wakoloni,unatumia maji yao,vyo vyao,madarasa yao,vyakula vyao,hewa yao,nguo zao,marafiki wao,walimu wao,na kila kitu chao hadi pesa unayotumia huko! Na pengine ukimaliza masomo usirudi huku kwani takuwa umenogewa na wakoloni. Pia kumbuka kuna watu wanaitwa mablozi wa nchi, mfano tanzania tangu ukolonin ilikuwa na mabalozi huko uingereza ambao yawezekana nawe ulikwenda kujitambulisha kwao,ishu si tawi ishu ni namna gani unajipambanua na kukabiliana na changamoto mbalimbali! Tanzama, TAnzania ni Tanganyika na Zanzibar,tazama EAST AFRICAN COMMUNITY,TANZAMA AFRICAN UNION,TAZAMA UNITED NATION VYOTE HIVYO NI MUUNGANIKO WA WATU AU MATAIFA KUTOKA SEHEMU TOFAUTI SEMBUSE TAWI LA NNJE YA NCHINJAMANI! RUDI USOME TANZANIA
Mkuu hebu angalia profile yangu ujue location yangu
KAMANDA upo? tunapoteana sana mkuu mpaka mktano wa chadema ndiyo tuonane...