Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,139
!!!!!!!!!!
Halafu cha kushangaza hujamuita lara1 taulo la hoteli, umesema atakaye muoa lara1 atakuwa na kazi kama taulo la hoteli, lakini watu wanang'ang'ania umemuita lara1 taulo la hoteli.Kutokana na mada moja iliyotangulia hapoawali kutumia neno taulo la hoteli limeleta mjadala mrefu,sasa je taulo la hotel lina sifa zipi,au lina ubaya gani?
Halafu cha kushangaza hujamuita lara1 taulo la hoteli, umesema atakaye muoa lara1 atakuwa na kazi kama taulo la hoteli, lakini watu wanang'ang'ania umemuita lara1 taulo la hoteli.
Kunawatu wapenda ligi!
Ngoja wamwite mkeo taulo la hotel ndio utajua kama lina maana gani.
AsanteAcha ushabiki wa kijinga!!!!!!!!!!
Wewe umemlenga lara1 ,na atakaye muoa huyu dada ana kazi kama taulo la hoteli
Asante
nakala ya post kama ilivyo hii hapa chini. sijui mmejifunza kusomea wapi.
Akipungiwa nae anapungaaaaa!!!!!!!
je wafikiri kauli hii ni sahihi??Asante
nakala ya post kama ilivyo hii hapa chini. sijui mmejifunza kusomea wapi.
Uwezo huoashaupoteza siku nyingi! Kabakia kuanzisha thread JF tu!!!!!!!!!! Kwisha habari yake! Aleleleeeeeeeeeee! Mlisema haolewi na atolewa mwaka huu shoga yetu!
je wafikiri kauli hii ni sahihi??
huwez ukasema mume wa mtu atakuwa taulo la hotel so far nikisema mke utakaye muoa atakuwa kama taulo la hoteli utaona sahih??
thanks bro.That's why you are and still will be the great teacher
Daaaaahhhh we mkuzi kwa nini unataka kukuza mambo kiasi hicho bana si mambo yangeishia kulekule?umeyaleta tena huku?
je wafikiri kauli hii ni sahihi??huwez ukasema mume wa mtu atakuwa taulo la hotel so far nikisema mke utakaye muoa atakuwa na kazi kama taualo la hoteli utaona sahiHana hamu..........kwisha hbr yke!
kwanza,hakuna mtu aliyeambiwa atakuwa taulo la hoteli kwenye hiyo post. Isipokuwa atakuwa na kazi kama taulo la hotel. Hapo inategemea tafsiri yako ya neno hoteli.je wafikiri kauli hii ni sahihi??
huwez ukasema mume wa mtu atakuwa taulo la hotel so far nikisema mke utakaye muoa atakuwa na kazi kama taualo la hoteli utaona sahih??