Tatu za jumatatu: Artificial Intelligence, Robotics, Machine

Mema Tanzania

Member
Feb 23, 2020
66
65
#TatuZaJumatatu AI | Robotics | Machine

AI ‘Artificial Intelligence’

AI ‘Artificial Intelligence’ ni sehemu ya computer science inayohusika na utengenezaji wa machines zenye kufanya jambo kwa kutegemea HI ‘Human Intelligence’.

Machine hizi zinauwezo wa kuelewa matakwa ya sauti, kutambua picha, kuendesha magari na kucheza michezo pengine zaidi ya tunavyoweza.

Aina nne za AI ‘Artificial Intelligence’:

1. Reactive Machine / Ni mfumo wa awali na mwanzo ambao unaweza kutambua, kuonesha na kutunza kumbukumbu inayoweza kutumika kwa wakati sasa na ujao. Mfano: Deep Blue na IBM’s chess-playing supercomputer

2. Limited Memory / Ni mfumo pili unaojumuisha machines zenye uwezo wa kutizama yaliyopita. Mfano: Upambanua speed na ramani ‘Directions’ dhidi ya magari mengine.

3. Theory of Mind / Huu ndio uti wa mgongo kwa tulipotoka na tunapokwenda katika ujenzi wa machines zenye utambuzi zaidi.

4. Self- Awareness / Ni sehemu ya mwisho ya ukuaji wa AI itayoweza kutengeneza uwasilishaji wa machines zenyewe.

AI.png


Robotics

Robotics ni mfumo usio na kikomo na sehemu ya uhandisi na sayansi zinazojumuisha mechanical engineering, electronic engineering, information engineering, computer science na nyingine.

Robotics inahusika na ubunifu, usanifu, ujenzi na uendeshaji wa maroboti ‘Robots’ pia na mifumo ya tarakilishi zenye kuyaendesha, kutoa ufahamu na uchakataji wa taarifa. Teknolojia hizi zinatengenezwa kuwa akiba baina ya binadamu na matendo ya binadamu.

Aina za Robotics
  • Military Robots | Roboti za kijeshi
  • Industrial Robots | Roboti za viwanda
  • Cobots | Roboti zenye ushirika
  • Construction Robots | Roboti za ujenzi
  • Agricultural Robots | Roboti za kilimo
  • Medical Robots | Roboti za utabibu
  • Kitchen Automation | Roboti za jikoni
  • Robot Combat for sport | Roboti za michezo
  • Domestic Robots | Roboti za nyumbani
  • Nanorobots | Roboti zenye udogo wa 0.1 – 10 micrometers
  • Swarm Robotics |Roboti zenye asili ya kujitawala
  • Autonomous Drones | Ndege ndogo zisizoongozwa na binadamu
  • Sports Field Line Making | Roboti za uchoraji katika viwanja vya michezo
Robotics.png


Machine

Machine ni mfumo na vifaa unaotumia nguvu ya kimekanika ikiwa na sehemu mbalimbali na kila sehemu ikiwa na tafsiri ya utendaji na uwajibikaji kimatendo.

Utendaji wa Machine ‘Mashini’ utumia nguvu, uendeshaji mkakati kufanya tendo kuwa uhalisia.

Mashini zimekuwepo enzi na enzi takribani miaka 2000 BC, mashini za enzi hizo zilikuwa ni zile za uvunaji maji, usindikaji na uvutaji.

Mashini za kisasa zimekuwa na mifumo isiyokuwa na mwisho kuanzia, mfano wa mashini za enzi hizi ni kama roboti, magari, maboti, ndege, mifumo ya kiviwanda inayojiendesha kiatomatiki, mashini za kilimo, mifumo ya ushikaji maji, tarakilishi na mashini nyingine.

Mifano ya machine ‘mashini’
  • Inclined plane, Wedge, Screw, Lever, Wheel and Axle na Pulley (Simple Machines).
  • Magari, Baiskeli, Mkasi, Torori na Stepla (Complex Machines)
Machine.png
 
Nimeshajiandaa kikamilifu kujiajili so 🤖 come quick, ila hizo domestic 🤖 ndiyo kiyama chenu...
 
People seem to misunderstanding these AI, robotics and co.

Artificial intelligence is not a machine nor a robot, it's not a hardware thing.

Same as human Intelligence is not a tangible thing, you can't touch an intelligent in human but you can touch a brain and hence a human.

You can't touch an AI software but you can touch the CPU and hence a robot.



Intelligent can be mimiced in machines to display it's working outside physical world

We can use intelligences into machines.

How to transfer intelligent into machines? Through Software, so software acts as an interface between electronics hardware and human intelligence. What we call this intelligent software transferred? An AI.

How do we use human intelligence through machines so they can assist our tedious and repetitive tasks?

Simple, the flow is this;

Human intelligence>AI software> electronics hardware (CPU) >robotics or any machine actuations


A robot is a special Mechatronic mchine that assists human tasks.
A study involving robots is robotics.

Saying AI machines and robots is confusing stuffs, it's like saying energy and car. Car is physical thing, energy can be incorporated in car through fuel and hence the car move. Same as robot , it can be incorporated with AI software and hence a robot performs

Understand?

There's a clear difference between robotics, Mechatronics and just Machines. That's another story.
 
Naona kiama cha kuolewa kinakuja.
Kuna watu wanataka huduma na faraja tu.
Mtu anakwepa kelele za wanawake na stress zao ananunua robot...anapika...anasex.....anaongea lugha yake... massage full....mdada hapa hana kazi tofauti na kuzaa
 
Chenchele, you need to know the segments above aren't combined. We tried to show the AI, Robotics and Machine in other hand to compare the in evitable manner of where we are heading to.

Thanks
 
Naona kiama cha kuolewa kinakuja.
Kuna watu wanataka huduma na faraja tu.
Mtu anakwepa kelele za wanawake na stress zao ananunua robot...anapika...anasex.....anaongea lugha yake... massage full....mdada hapa hana kazi tofauti na kuzaa
Ahaa! Wewe mwenyewe, utachachagua roboti au mdada?
 
Back
Top Bottom