tatoo sio tatizo, ila tatizo mahari ilipocholewa, dah kuna watu watukutu, na hii inamaanisha ex wake alikuwa anamkunja sana mpaka akaamua kumpa kila kitu, kwakweli ujana tope la mavi...aisee peleka akaifute haraka sana, au chukua pasi ma maziwa uifute...