mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Msaada simu yangu ilikua inataka ni up date whatsapp application nilipojaribu ku up date ikawa inachukua muda mrefu sana mpaa inakataa nilichofanya ni ka unistall ...nikajaribu ku install aitaki tangu juzi but application zingine zote zipo okay tatizo ni nini ?? Simu yangu inaitwa be na natumia line ya airtel