Kupe, kadudu kasumbufu kenye tabia ya kushiba pasipozalisha!
Hakika ulichagua jina sahihi kwa matendo yako ila kuna uwezekano hata hili jina wamekuchagulia waliokupangia kufanya kazi hii na kwa kuwa hujui wajibu wa jeshi la polisi sitopoteza muda wangu kukujibu zaidi ya kukuelimisha kuwa Jeshi la polisi liliundwa kwa minajili ya kuhakikisha USALAMA wa raia na mali zao, je kuuwa raia kumeainishwa wapi kama lengo la kuundwa kwa jeshi hili.
Kama ulisoma udsm nina shaka na shahada yako au ndo zile ndugu yetu DC wa Korogwe Bw Mrisho Gambo anaziita digrii za chupi?
Hakika ulichagua jina sahihi kwa matendo yako ila kuna uwezekano hata hili jina wamekuchagulia waliokupangia kufanya kazi hii na kwa kuwa hujui wajibu wa jeshi la polisi sitopoteza muda wangu kukujibu zaidi ya kukuelimisha kuwa Jeshi la polisi liliundwa kwa minajili ya kuhakikisha USALAMA wa raia na mali zao, je kuuwa raia kumeainishwa wapi kama lengo la kuundwa kwa jeshi hili.
Kama ulisoma udsm nina shaka na shahada yako au ndo zile ndugu yetu DC wa Korogwe Bw Mrisho Gambo anaziita digrii za chupi?