mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Miaka yote tunaaminishwa Mbeya kuna misosi hatari. Vyakula kama chips unaweza kupewa hadi ndoo nzima kwa Buku. Watu wa Mbeya ni wakubwa kimiili. Wanawake ndio usiseme wakubwa kimiili na wababe.
Imekuwaje leo tena watoto wengi wanadumaa hivyo? Maana wakidumaa mwili na Ubongo unasinyaa wakiwa watu wazima Mbeya inakuwa na watu wa ovyo ovyo...
Mlioko huko mtusaidie, Tatizo nini...
Chanzo: The Citizen la leo
-----------
UPDATE: Nimeattach Document ya Research on poverty alleviation(REPOA): Institutional anaysis of nutrition in Tanzania japo hii ni ya zamani kidogo hali ilipokuwa nzuri zaidi. Page ya Saba ramani ya asilimia ya watoto walivyodumaa kwa mikoa
Imekuwaje leo tena watoto wengi wanadumaa hivyo? Maana wakidumaa mwili na Ubongo unasinyaa wakiwa watu wazima Mbeya inakuwa na watu wa ovyo ovyo...
Mlioko huko mtusaidie, Tatizo nini...
Chanzo: The Citizen la leo
-----------
UPDATE: Nimeattach Document ya Research on poverty alleviation(REPOA): Institutional anaysis of nutrition in Tanzania japo hii ni ya zamani kidogo hali ilipokuwa nzuri zaidi. Page ya Saba ramani ya asilimia ya watoto walivyodumaa kwa mikoa