Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Mimi ni mzazi. Nauliza hoja ni nidhamu ndogo ya wanafunzi au shambulio la mwili kwa mwanafunzi wa Mbeya Day? Labda niulize hivi shambulio alilopata mwafunzi wa Mbeya Day ni haki kwa mujibu wa maelezo ya RC??
Naomba nisisitize kuwa ni weledi mdogo sana tunaoona kwa viongozi wetu. Kuongozi aongee kwa miongozo sio mihemko ya kisiasa. Ni sheedah tuna viongozi hawajiamini na maamuzi yao....leo anasema hili kesho anasema lile. Kwa kweli JPM anayo kazi kweli kweli.
Naomba nisisitize kuwa ni weledi mdogo sana tunaoona kwa viongozi wetu. Kuongozi aongee kwa miongozo sio mihemko ya kisiasa. Ni sheedah tuna viongozi hawajiamini na maamuzi yao....leo anasema hili kesho anasema lile. Kwa kweli JPM anayo kazi kweli kweli.