Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Basi mie naomba mwenye kumjua huyu mzee atupe data maana kaelezwa na ndugu Mugisha kwamba dikteta anatoa ma amri tu bila ya kujali .Yeye na u boss kwisha kazi ukichanganya na Uhaya .
Kwani Ngemera kabla ya kuwa balozi alikuwa nani ?
Kwa kweli labda nimsaidie mtoa hoja .Kuna wakati mwaka huu nimetembelea hapo ubalozini katika shughuli zangu za kawaida nikawa naona watumishi walivyo achilia mbali jengo chakavu na wakubwa wanafika hapo bila kujali nimemsikia mjerumani secretary anateta kwamba balozi ni mtu wa ajabu .anakurupuka na anaweza kukufokea hata mbele za watu .
So nikagundua stress za wale watumishi kumbe si maisha magumu ya kazi pekee kumbe hata boss wao anaonyesha uhaya hadi huko Ulaya .Nadhani wale watu wana kabiliwa na matatizo mazito .Sikuweza kupata wa kusema naye ila kwa sasa nitafanya kazi ya ziada .Mugisha umesema uko Ujerumani ? basi tuwasiliane pembeni nikupe kazi .Lazima tujue kwamba kwanza ubalozi unaendeshwa kama familia ya Ngemera na si Ofisi ya Serikali .
Wengine mnaweza kusema pia ili tupate ukweli maana JF si haba kwa kufuatilia .Mliyoko Majuu umulikeni Ubalozi huo hautoi huduma kwa kuwa watumishi wana ogopa kuchukua majukumu .JK hawa ndiyo washikaji zako ambao umewaleta huku wanavuruga wala hawajengi .
hii.. kuchanganya na uhaya ndiyo nini? wengine tumechumbia uhayani.. so tuna maslahi..tushtuane mapema.
Msema Ukweli Siku Zote huwa ni Mpenzi wa Mungu, mkuu sema ukweli acha dhambi za bure bila sababu.
...kutumia majina na kusema Mama kilango amebakwa ni ustaarabu?
Mimi sijaona ambae katulia, sehemu nyingine yeyote.
Kuna mtu anaweza kututajia Balozi ambae anajua anachokifanya?
Wenye data zaidi ya Mugisha watupe juu ya huyu Ngemera na kuendesha ubalozi kikomandoo na Serikali kuacha ubalozi kuwa kama boma la kimasai na watumishi kuishi under fear .Mahiga ni halili si kama hawa wengine wanao pewa kwa kujuana ama misingi ya ufahidhina .
...naona Balozi wa UN pale New York ni mtu anaejua anachokifanya. The guy is very Intelligent
we ni kichwa maji na si balozi wa germany unafikiri kubadili mambo ni pupara pupara ka wewe fikiria kabla ya kulopoka inaonesha wewe huna maendeleo yoyote na kichwa chako ni ziroKwa muda wa miaka sasa Ubalozi wetu Ujerumani umekuwa kama boma la mmasai kuanzia jengo na hata watumishi wake .Ubalozi huu ni mmoja kati ya Balozi kubwa lakini ukifika utadhani si Ubalozi wenye hadhi .Jumba liko kia ajabu na watanzania hapa Ujerumani tumepiga kelele sana lakini alikuwa hapa Karume yeye ilikuwa safari tu hadi amekuja Ngemera sasa ni balaa mtu huyu .
Ujerumani tuna bahati mbaya sana kupata mabalozo vichwa maji ama hawajali ama hawajui wanacho kifanya .Ninajiuliza kwamba hata wakiwa mawaziri hapo Ubalozini sijui hawaoni hali hali halisi ya jengo lao hilo ama wao huwa wanawa perdiem yao na kuabudiwa na watumishi wa Ubalozi ila mazingira ya watumishi si kazi yao .
Majuzi mkewe Karume alikuwa ana vinjari hapo , waziri wa Utalii na hata Matilda katoka Ujerumani juzi lakini wote wana acha hali ikiwa duni kabisa .
Sasa kaja Ngemera kila mara yeye yuko kama mlevi .Mambo yake hayaeleweki hata kukaa akaona namna tunavyo ona aibu hap Ubalozini tukienda haangalii.Ukimuona anatembea utadhani ni balozi kweli kaa naye uone .Anatoa amri kama Mhindi na hata hamalizi kazi moja anarukia nyingine .Nina wasi wasi mkubwa na huyu Mzee sijajua kabla ya kuwa Balozi alikuwa na huko utawala wake ulikiuwaje .Kwa kuwa na watu vichwa maji wa aina yake ndiyo maana Ubalozi unakosa hadhi kwa kuwa anaye uongoza hana hadhi .
Membe na kundi lako kama ulikuwa hujui Ujerumani kuna matatizi basi anza upya kuutafuta ukweli utaupata ni aibu kuanzia nje hadi ndani .