GE2025 Tatizo la Watanzania ni Uwajibikaji hata aje Rais kutoka wapi bado atalaumiwa

GE2025 Tatizo la Watanzania ni Uwajibikaji hata aje Rais kutoka wapi bado atalaumiwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
11,495
Reaction score
12,105
Watanzania sisi ni watu wa kupenda kulaumu kuliko Kuwajibika nafikiri hili linaweza kua ndio tatizo kubwa sana la wananchi wa Tanzania. Mfano alikuepo Magufuli lawama zilikua kama zote hata ambao hawakumpigia kura malalamiko yalikua mengi sana. Rais Samia huyu hapa malalamiko kama yote. Ila uwajibikaji ni zero sisi kulalamika tu.

Najua Oktoba 29 hakuna maandamano nenda Ukatiki urudi kulala sisi ni Watu wa kulaumu lakini sio kuwajibika. Mfano Polepole alivyokua anakosoa wakasema yuko nje ya Nchi anakosoa akiwa amejificha nje ya Nchi aje hapa Tanzania aya Sasa tumekuja kujua alikua Tanzania lakini Lawama zinamrudia tena Polepole unawezaje kukosoa serikali ukiwa Tanzania.

Sisi ni watu wa Lawama tu Tukijifunza uwajibikaji tutawawajibisha Viongozi tunaona hawafai.
 
Umajizima data ww ... Kipindi cha Jiwe ulikua wapi ww watz hatujapata kiogozi tu . JPM aaliwakalia kwenye koo watu ... Ilikua kazi kazi.
Mimi mpaka Sasa naomba Magufuli a nisamehe yule Mzee lakini bado alipewa lawama na watanzania sisi Polepole amepotea unaona uwajibikaji uko wapi wa wananchi kumtafuta au kufungua mshauri mahakamani kila wilaya kila mkoa Ungekua na kesi ya kutamfuta Polepole Unafikiri serikali ingelala?
 
Watanzania sisi ni watu wa kupenda kulaumu kuliko Kuwajibika nafikiri hili linaweza kua ndo tatizo kubwa sana la wananchi wa tanzania. Mfano alikuepo Magufuli lawama zilikua kama zote hata ambao hawakumpigia kura malalamiko yalikua mengi sana. Rais Samia huyu hapa malalamiko kama yote. Ila uwajibikaji ni zero sisi kulalamika tu. Najua Oktoba 29 hakuna maandamano nenda Ukatiki urudi kulala sisi ni Watu wa kulaumu lakini sio kuwajibika, Mfano Polepole alikua alivyokua anakosoa wakasema yuko ya Nchi anakosoa akiwa amejificha nje ya Nchi aje hapa Tanzania aya Sasa tumekuja kujua alikua tanzania. Lawama zinamrudia tena Polepole unawezaje kukosoa serikali ukiwa tanzania. Sisi ni watu wa Lawama Tu
Hapana usiwasingizie waTz kipindi cha magu tofauti ilionekana kubwa sn tu
 
Watanzania sisi ni watu wa kupenda kulaumu kuliko Kuwajibika nafikiri hili linaweza kua ndo tatizo kubwa sana la wananchi wa tanzania. Mfano alikuepo Magufuli lawama zilikua kama zote hata ambao hawakumpigia kura malalamiko yalikua mengi sana. Rais Samia huyu hapa malalamiko kama yote. Ila uwajibikaji ni zero sisi kulalamika tu. Najua Oktoba 29 hakuna maandamano nenda Ukatiki urudi kulala sisi ni Watu wa kulaumu lakini sio kuwajibika, Mfano Polepole alikua alivyokua anakosoa wakasema yuko ya Nchi anakosoa akiwa amejificha nje ya Nchi aje hapa Tanzania aya Sasa tumekuja kujua alikua tanzania. Lawama zinamrudia tena Polepole unawezaje kukosoa serikali ukiwa tanzania. Sisi ni watu wa Lawama Tu

Utekaji na kuua wapinzani alianza magufuli ,binti chura amerithi tena na anaendeleza kwa kiwango cha SGR.

Enzi za Kikwete aliyetekwa ni mmoja tu Dr Ulimboka ila kuanzia JIWE hadi Binti Chura wa Samawati idadi ya waliotekwa na kupotezwa nia ZAIDI ya 1000.(Mkiru ilipoteza zaidi ya wananchi 350)
 
Utekaji na kuua wapinzani alianza magufuli ,binti chura amerithi tena na anaendeleza kwa kiwango cha SGR.

Enzi za Kikwete aliyetekwa ni mmoja tu Dr Ulimboka ila kuanzia JIWE hadi Binti Chura wa Samawati idadi ya waliotekwa na kupotezwa nia ZAIDI ya 1000.(Mkiru ilipoteza zaidi ya wananchi 350)
Unamfahamu Mvungi? unamfahamu Mwangosi tulia kaka watanzania sio wawajibikaji
 
Unamfahamu Mvungi? unamfahamu Mwangosi tulia kaka watanzania sio wawajibikaji
Nazungumzia utekaji ambao ni notable.

Mvungi kesi yake kwani haujaiona? Si walikamatwa? Waliomlipua mwangozi si alikamatwa? Aiyemteka ulimboka si jamaa wa IKULU au umesahau? Nazungumzia utekaji ambao unahusu serikali moja kwa moja...ALiyemteka ulimboka hajachukuliwa hatua yeyeote maana ni mtu wa mfumo(Joshua Mulundi ni FUTUHI aka maigizo)

Mwangosi na mvungi hawajatekwa.........Dr Ulimboka alitekwa tambua tofauti.
 
Mkuu hizo lawama ziangalie vizuri ukizielewa hutapata nazo tabu

Lawama ni za kidini sema wapinzani wanapita nazo kusongesha agenda zao ukiwa muelewa utaelewa nini nimesema ila ukiamua kutokuelewa ndo basi tena
 
Back
Top Bottom