Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,731
- 13,100
Habari zenu wana Jf?
Moja kwa moja kwenye mada, hivi karibuni nimeanza ku experience muwasho sana kwenye uume pale karibu na kichwa, mwanzo ulikuwa muwasho tu na mchubuko kidogo ila sasa naona mchubuko unapona lakini panatoa kama tumagamba flani hivi, huwa natubandua/kututoa lakini baada ya siku mbili tunarudi tena. Mpaka sasa sijatumia dawa yoyote hivyo naomba kwa wajuvi wanisaidie kujua tatizo au ni ugonjwa gani pamoja na ushauri. Asanten
Moja kwa moja kwenye mada, hivi karibuni nimeanza ku experience muwasho sana kwenye uume pale karibu na kichwa, mwanzo ulikuwa muwasho tu na mchubuko kidogo ila sasa naona mchubuko unapona lakini panatoa kama tumagamba flani hivi, huwa natubandua/kututoa lakini baada ya siku mbili tunarudi tena. Mpaka sasa sijatumia dawa yoyote hivyo naomba kwa wajuvi wanisaidie kujua tatizo au ni ugonjwa gani pamoja na ushauri. Asanten