franknombo
Senior Member
- Mar 30, 2019
- 170
- 160
Wadau Habar natumia techno k7 niikingia kwenye app ya M bett inaniandikia Unfortunately M bett app has stoped.Nimejaribu kufanya yafuatayo hayajanisaidia, 1 kuifuta app na kuidownload upya 2 kuclear cache data. Naombeni msaada wakuu