Tatizo la umeme Tanzania lafika ukingoni

Tatizo la umeme Tanzania lafika ukingoni

mamayoyo1

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
1,011
Reaction score
1,019
1083525

Mradi wa ujenzi wa mtambo wa umeme wa gesi, Kinyerezi I Extension, utakaozalisha megawati 185, ukiwa katika hatua za mwisho na utakamilika Agosti mwaka huu.
 
Mimi nipo hapa kibaha maeneo ya kidimu mkoa Wa pwani,tumepakana na ubungo mkoa Wa dar maeneo ya mpigi magohe, hakuna umeme wala dalili ya kupata huo umeme Leo wala kesho usiongee swala LA maji ndiyo balaa kabisa,halafu ndiyo mkoa unaojisifia kuwa na viwanda vingi Tanzania, hapa hakuna maji wala umeme,barabara ndiyo usiseme,kipindi cha mvua unaweza kutukana viongozi wote Wa Tanzania, hakuna barabara inayopitika.hamwe
 
Mimi nipo hapa kibaha maeneo ya kidimu mkoa Wa pwani,tumepakana na ubungo mkoa Wa dar maeneo ya mpigi magohe, hakuna umeme wala dalili ya kupata huo umeme Leo wala kesho usiongee swala LA maji ndiyo balaa kabisa,halafu ndiyo mkoa unaojisifia kuwa na viwanda vingi Tanzania, hapa hakuna maji wala umeme,barabara ndiyo usiseme,kipindi cha mvua unaweza kutukana viongozi wote Wa Tanzania, hakuna barabara inayopitika.hamwe
Sasa dar kulikuwa na nguzo lakini umeme hamna, sijui unaelewa adha yake inakuwaje!!!!
 
Back
Top Bottom