Tatizo la umeme Mtwara tupewe Taarifa

Tatizo la umeme Mtwara tupewe Taarifa

Aahm

Member
Joined
Mar 31, 2019
Posts
16
Reaction score
14
Kwa muda wa miezi kadhaa sasa pamekuwa na ukatikaji wa Umeme kwenye baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mtwara kama vile Mikindani, Msijute mpk Mpapura, wananchi hawaelewi tatizo ni nini, kwa siku Umeme unakatika zaidi ya Mara 6,Mh Waziri tunaomba msaada wako,isitoshe gesi inazalishwa hapa hapa
 
Back
Top Bottom