Tatizo la TRA ni kuwatumia watendaji wapya

Tatizo la TRA ni kuwatumia watendaji wapya

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Ukifatilia kwa makini tatizo lililopo kati ya TRA na wafanyabiashara sehemu nyingi hapa nchini ni hawa watendaji walioajiriwa hivi karibuni na kupewa majukumu makubwa.

Sehemu kubwa ya watendaji walio na uzoefu na kazi katika vituo vyao walihamishwa na nafasi zao kuchukuliwa na hawa vijana wapya wasiokuwa na uzoefu. Kitu kingine ni hawa vijana kuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa haraka kupitia wafanyabiashara.

Ukiangalia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ukusanyaji wa kodi ulikuwa mkubwa sana bila kuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na TRA.

Ni wakati muhimu kwa TRA kuwaangalia kwa makini hawa vijana wanaoajiriwa sasa
 
Ukifatilia kwa makini tatizo lililopo kati ya TRA na wafanyabiashara sehemu nyingi hapa nchini ni hawa watendaji walioajiriwa hivi karibuni na kupewa majukumu makubwa.

Sehemu kubwa ya watendaji walio na uzoefu na kazi katika vituo vyao walihamishwa na nafasi zao kuchukuliwa na hawa vijana wapya wasiokuwa na uzoefu. Kitu kingine ni hawa vijana kuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa haraka kupitia wafanyabiashara.

Ukiangalia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ukusanyaji wa kodi ulikuwa mkubwa sana bila kuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na TRA.

Ni wakati muhimu kwa TRA kuwaangalia kwa makini hawa vijana wanaoajiriwa sasa
Kijana acha wivu nina dogo yuko huko ameajiriwa mwaka jana TRA sasa ulitaka wakajifunzie wapi hizo kazi nyie ndo mnaotangaza experience 15 years graduater waendelee kuteseka mtaani.

Hizo kazi siwanafanya chini ya wazoefu na wanaelekezwa ndani ya usimamizi maalum kwa miongozo ya sheria za kodi au unafikira hakuna mikakati watu km nyinyi ndo mnakuwa wachawi acha wivu acha madogo wale neema ya nchi ili mradi hawavunji sheria za misingi ya kazi
 
Ukifatilia kwa makini tatizo lililopo kati ya TRA na wafanyabiashara sehemu nyingi hapa nchini ni hawa watendaji walioajiriwa hivi karibuni na kupewa majukumu makubwa.

Sehemu kubwa ya watendaji walio na uzoefu na kazi katika vituo vyao walihamishwa na nafasi zao kuchukuliwa na hawa vijana wapya wasiokuwa na uzoefu. Kitu kingine ni hawa vijana kuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa haraka kupitia wafanyabiashara.

Ukiangalia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ukusanyaji wa kodi ulikuwa mkubwa sana bila kuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na TRA.

Ni wakati muhimu kwa TRA kuwaangalia kwa makini hawa vijana wanaoajiriwa sasa
Wanataka baada ya mwaka wanakuw Na nyumba , gari Na pisi kali
 
Kijana acha wivu nina dogo yuko huko ameajiriwa mwaka jana TRA sasa ulitaka wakajifunzie wapi hizo kazi nyie ndo mnaotangaza experience 15 years graduater waendelee kuteseka mtaani.

Hizo kazi siwanafanya chini ya wazoefu na wanaelekezwa ndani ya usimamizi maalum kwa miongozo ya sheria za kodi au unafikira hakuna mikakati watu km nyinyi ndo mnakuwa wachawi acha wivu acha madogo wale neema ya nchi ili mradi hawavunji sheria za misingi ya kazi
Nadhani hujamwelewa vizuri mleta mada, angalia, mimi nilipo wafanyakazi wote waliondolewa wakaketwa hao wanafunzi, unadhani hiyo ni sahihi? Wafanyakazi nwanatakiwa kuhamishwa hawamu kwa hawamu sio utoe wote kwa wakati mmoja, sheria peke yake haifanyi kazi inatakiwa na akili binafsi iwepo pamoja na uzoefu, hata ukienda benki wapo wateja mhudumu wa benki akiwaona anatafuta namna ya kuwahudumia ili watoke haraka japo wateja wote wana haki sawa.Na elewa kuwa mtu anapoanza kazi anakuwa hajui chochote mpaka afundishwe na wenyeji wake.
 
Ukifatilia kwa makini tatizo lililopo kati ya TRA na wafanyabiashara sehemu nyingi hapa nchini ni hawa watendaji walioajiriwa hivi karibuni na kupewa majukumu makubwa.

Sehemu kubwa ya watendaji walio na uzoefu na kazi katika vituo vyao walihamishwa na nafasi zao kuchukuliwa na hawa vijana wapya wasiokuwa na uzoefu. Kitu kingine ni hawa vijana kuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa haraka kupitia wafanyabiashara.

Ukiangalia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ukusanyaji wa kodi ulikuwa mkubwa sana bila kuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na TRA.

Ni wakati muhimu kwa TRA kuwaangalia kwa makini hawa vijana wanaoajiriwa sasa
Vijana wapya wengi ni wazanzibari wa Samia. Kweli tunahitaji katiba mpya ili na muungano utazamwe upya
 
Ukifatilia kwa makini tatizo lililopo kati ya TRA na wafanyabiashara sehemu nyingi hapa nchini ni hawa watendaji walioajiriwa hivi karibuni na kupewa majukumu makubwa.

Sehemu kubwa ya watendaji walio na uzoefu na kazi katika vituo vyao walihamishwa na nafasi zao kuchukuliwa na hawa vijana wapya wasiokuwa na uzoefu. Kitu kingine ni hawa vijana kuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa haraka kupitia wafanyabiashara.

Ukiangalia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ukusanyaji wa kodi ulikuwa mkubwa sana bila kuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na TRA.

Ni wakati muhimu kwa TRA kuwaangalia kwa makini hawa vijana wanaoajiriwa sasa
tatizo la kodi sio kkoo tu Kuna malalamiko mengi katika mfumo wa kodi. TRA wana' uplift kila invoice unayo lodge hata kama una supporting documents kama TT bado 'miungu watu wa TRA' hawakubali. Hili pia ni tatizo.

Matatizo ya Tanzania na kodi yanaanzia mbali sana ccm bila kutolewa kwanguvu hii nchi aiwezi songambele ccm ni kipengele.
 
Aisee bwashee hii kitu ina mambo mengi kweli kweli! Wakati mwingine ni wafanya biashara wenyewe ndio wanashawishi haya mambo wakidhani ni kukomboa wakati kumbe ndio wanaharibu na kujiharibia kabsaa! Haya! Kwa upande wa viongozi nao kuanzia ngazi za juu(sio wa TRA tu, serikali yote)ambao tulitegemea wawe kielelezo haswa cha MAADILI MEMA, kumbe nao wametakiwa kula kila mmoja kwa urefu wa kamba yake!🤔 Mkuu! Ndiposa vijana nao huamua kujitoa ufahamu ili yamkini kwa njia ya mkato na ya haraka haraka waifikilie nchi pendwa! Nchi ya ASALI chap!
 
Ukifatilia kwa makini tatizo lililopo kati ya TRA na wafanyabiashara sehemu nyingi hapa nchini ni hawa watendaji walioajiriwa hivi karibuni na kupewa majukumu makubwa.

Sehemu kubwa ya watendaji walio na uzoefu na kazi katika vituo vyao walihamishwa na nafasi zao kuchukuliwa na hawa vijana wapya wasiokuwa na uzoefu. Kitu kingine ni hawa vijana kuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa haraka kupitia wafanyabiashara.

Ukiangalia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ukusanyaji wa kodi ulikuwa mkubwa sana bila kuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na TRA.

Ni wakati muhimu kwa TRA kuwaangalia kwa makini hawa vijana wanaoajiriwa sasa
100% uko sahihi.
 
Nadhani hujamwelewa vizuri mleta mada, angalia, mimi nilipo wafanyakazi wote waliondolewa wakaketwa hao wanafunzi, unadhani hiyo ni sahihi? Wafanyakazi nwanatakiwa kuhamishwa hawamu kwa hawamu sio utoe wote kwa wakati mmoja, sheria peke yake haifanyi kazi inatakiwa na akili binafsi iwepo pamoja na uzoefu, hata ukienda benki wapo wateja mhudumu wa benki akiwaona anatafuta namna ya kuwahudumia ili watoke haraka japo wateja wote wana haki sawa.Na elewa kuwa mtu anapoanza kazi anakuwa hajui chochote mpaka afundishwe na wenyeji wak

Nadhani hujamwelewa vizuri mleta mada, angalia, mimi nilipo wafanyakazi wote waliondolewa wakaketwa hao wanafunzi, unadhani hiyo ni sahihi? Wafanyakazi nwanatakiwa kuhamishwa hawamu kwa hawamu sio utoe wote kwa wakati mmoja, sheria peke yake haifanyi kazi inatakiwa na akili binafsi iwepo pamoja na uzoefu, hata ukienda benki wapo wateja mhudumu wa benki akiwaona anatafuta namna ya kuwahudumia ili watoke haraka japo wateja wote wana haki sawa.Na elewa kuwa mtu anapoanza kazi anakuwa hajui chochote mpaka afundishwe na wenyeji wake.
Nimemuelewa vizuri mtoa mada naww km nimfanyakazi wa TRA Lazima utakuwa mzee mwenye chuki na hawa watoto wanao kuja kufanya kazi kama zenu ilo la kutolewa wafanyakazi wote wakongwe haliwezakani huo ni uongo ni sawa nakusema wanaajiriwa madaktari new fresh from school waekwe pale moi bila uangalizi wa waenyeji serikali hawafanyi huo mchezo hata siku moja siwataenda kuwaua watu.

Mimi mwenyewe ni mfanyabiashara wa siku nyingi siwapendi TRA Kwasababu ya makodi na hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi hivi hayo mastore unajua ndo kwenye zambi zote na madudu, hivi mm nikamatwe sijatoa risiti nikubali kupigwa faini ya milioni 3 sjui 4 wakati nikitoa laki 5 au milioni 1 naachiwa kama wewe unachagua wapi sisi hatufati sheria tunaangukia kwenye marushwa .
 
Ukifatilia kwa makini tatizo lililopo kati ya TRA na wafanyabiashara sehemu nyingi hapa nchini ni hawa watendaji walioajiriwa hivi karibuni na kupewa majukumu makubwa.

Sehemu kubwa ya watendaji walio na uzoefu na kazi katika vituo vyao walihamishwa na nafasi zao kuchukuliwa na hawa vijana wapya wasiokuwa na uzoefu. Kitu kingine ni hawa vijana kuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa haraka kupitia wafanyabiashara.

Ukiangalia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ukusanyaji wa kodi ulikuwa mkubwa sana bila kuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na TRA.

Ni wakati muhimu kwa TRA kuwaangalia kwa makini hawa vijana wanaoajiriwa sasa
TRA need to go digital to resolve all issues
 
TRA need to go digital to resolve all issues
Tatizo kubwa sio TRA sio kwamba na watetea tatizo kubwa ni wabunge,hawa ndio wanapitisha hizi sheria za kodi makusudi mazima kwasabu walichaguliwa na mwendazake hawa jamaa wanajiwakilisha wenyewe na waliowaweka pale,tukitaka kumaliza matatizo aya tuanze na ccm sio TRA .
 
Back
Top Bottom