mahalathetz
Member
- Dec 2, 2014
- 36
- 17
Simu yangu ina tatizo la kuhamisha unachokifanya. Kwa mfano naweza nikawa naandika "a" yenyewe ikaacha nafasi na mbaya zaidi naweza nikawa nafanya kitu fulani kama kuchat ghafla tu inarudi nyuma.
Mfano naandika kutoka hapa
Najikuta inanipeleka mwanzo kabisa hapa. Na wakati mwingine nikiwa nawasiliana najikuta inahold yenyewe. Na pia imekua ikichemka tofauti na ilivyokua mwanzo. Simu yenyeww ni TECNO M3.
Naombeni msaada kwa wanalum jamani nimeenda kwa mafundi kama watatu ila nimeishia kuambiwa tu njoo kesho nikienda wananiambia wako bize sasa nimeitunza tu ndani,
Naombeni msaada wenu wana JF.
Mfano naandika kutoka hapa
Najikuta inanipeleka mwanzo kabisa hapa. Na wakati mwingine nikiwa nawasiliana najikuta inahold yenyewe. Na pia imekua ikichemka tofauti na ilivyokua mwanzo. Simu yenyeww ni TECNO M3.
Naombeni msaada kwa wanalum jamani nimeenda kwa mafundi kama watatu ila nimeishia kuambiwa tu njoo kesho nikienda wananiambia wako bize sasa nimeitunza tu ndani,
Naombeni msaada wenu wana JF.