matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,958
Ndomaana tunataka katiba itakayotupa nguvu ya kuwaadhibu viongozi wetu wazembe, ambao magufuli kashindwa kuwaadhibu akionea dagaa tu, tunataka rais akitoka madarakani asiwe na kinga ya kuwajibiswa, pawe na kikomo cha uongozi sio sasa ubunge kama uchifu tu.
Hatutaki wakuu wa mikoa na wilaya kwamaana ni wapiga dili wa chama.
Nyinyi mnataka visasi Magufuli anasafisha kwa maslahi ya umma hakuna dagaa wote walio haribu anawashughulikia tatizo nyinyi mna visasi vyenu vya kisiasa mnataka mvigeuze. Oneni yote mnayopigia kelele ni ya kisiasa tume ya uchaguzi, wakuu wa wilaya hatusikii mkizungumzia ya wananchi ni siasa tupu ambazo hazina faida kwa sie tusio penda ujinga wa siasa. Katiba ni siasa tu muhimu ni uongozi mzuri kama wa Magufuli.