Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,701
- 24,121
wakuu simu yangu inatatizo kutoleta calls kwenye kioo yan utakuta natumia alafu hapo hapo mtu akinipigia hailet sehemu ya kupokelea ..bali itaendelea kuita tuu lkn kupokea huwez naomba mnisaidie kutatua tatizo hili sababu watu wanajua Nina jeuri kumbe sio