IME
Member
- Oct 30, 2011
- 15
- 0
Nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari kwa siku za hivi karibuni, karibia kila siku kwa nama moja au njingine inaonesha kuna tatizo la nishati hiyo. Ninapata mashaka kidogo ninapowaona viongozi wanaohusika kwenye usimamizi na udhibiti wa nishati hii kuzuia na kukemea kwamba wanaotumia internet wanakuza mambo tofauti na hali ilivyo nchini! Wakati taarifa ya habari haijaisha wakaonesha mahari ambapo kuna ukosefu wa petrol, tena ndani ya Dar es Salaam. Siamini ukitenda kazi vyema kwamba utalaumiwa na watu wote.