Moshi wa Kumbi
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 163
- 99
Habar wanajukwaa
Simu yang samsung j7pro inatatzo la network kua chini km nitafungua data na kumtumia mtu chat kw whatsapp huchukua had dakika moja bado haijaweka tick.
Pia sometime nikipigiwa hua haipatikani
Naomba msaada wenu wakuu natanguliza shukran
Simu yang samsung j7pro inatatzo la network kua chini km nitafungua data na kumtumia mtu chat kw whatsapp huchukua had dakika moja bado haijaweka tick.
Pia sometime nikipigiwa hua haipatikani
Naomba msaada wenu wakuu natanguliza shukran