Naomba ushauri na msaada unaohusiana na tatizo hilo.
Dalili nyingi nilizozisikia ninazo.
Tatizo la nguvu za kiume, Ganzi, kichefuchefu cha mara kwa mara, Miguu kuuma, Viungo kuuma, Mwili kuwa na uchovu mda mwingi, nywele kung'oka kwa wingi, kuumwa kichwa mara kwa mara.
Pia niliwah ambiwa spitali kama nina Digestive problem ambalo pia nalo ni dalili ya ilo tatizo.
Na pia hivi karibuni niliwah kuambiwa na mtabibu mmoja wakati nikitoa damu kama damu yangu ni nzito sana na nyeusi sana. ndipo nilipozidi kuamini juu ya hili tatizo.
Naomba msaada
Dalili nyingi nilizozisikia ninazo.
Tatizo la nguvu za kiume, Ganzi, kichefuchefu cha mara kwa mara, Miguu kuuma, Viungo kuuma, Mwili kuwa na uchovu mda mwingi, nywele kung'oka kwa wingi, kuumwa kichwa mara kwa mara.
Pia niliwah ambiwa spitali kama nina Digestive problem ambalo pia nalo ni dalili ya ilo tatizo.
Na pia hivi karibuni niliwah kuambiwa na mtabibu mmoja wakati nikitoa damu kama damu yangu ni nzito sana na nyeusi sana. ndipo nilipozidi kuamini juu ya hili tatizo.
Naomba msaada