Meya wa Mwanza, Kutoka chadema ameanisha kuwa Mkurugenzi Kabwe anazidi kutumia na wanasiasa ili kuidhofisha Chadema. Hii ni baada ya kutokea vurugu za Mza kati ya Polisi na Machinga. Madiwani wa chadema wakiongozwa na meya wa jiji kutoka chadema walikaa chini na kukubaliana kuwa wamachinga wasifukuzwe kwanza kwenye maeneo mpaka itakapo bainika sehemu nzuri na yenye msongamano wa watu ili wamachinga waweze kuhamishwa. Lakini Mkurugenzi yeye kama yeye bila kufuata makubaliano ya madiwani aliomba waondolewe. Je serikali au CCM mimi binafsi naona kama wanakosa think tanker. Hapo CCM ijue inazid kujishusha.
NIPASHE source