Tatizo la moyo kuuma wakuu msaada

Sambamba na kumuona daktari, fanya zoezi la kukimbia, kupiga pushapu ili mwili utoe jasho
Kwa huu ushauri wako ni hakika kabsa utaenda kumuua!
Moyo kuuma ni Angina pectoris ambayo sababu kuu ni moyo kukosa oxygen ya kutosha
Kumwambia afanye mazoez ni sawa na kuongeza oxygen demand ambayo itasababisha Hali iwe mbaya zaidi
Nenda hospital wakakupime na watakupatia dawa
 
Kwa huu ushauri wako ni hakika kabsa utaenda kumuua!
Moyo kuuma ni Angina pectoris ambayo sababu kuu ni moyo kukosa oxygen ya kutosha
Kumwambia afanye mazoez ni sawa na kuongeza oxygen demand ambayo itasababisha Hali iwe mbaya zaidi
Nenda hospital wakakupime na watakupatia dawa
Inawezekana damu haifiki vizuri kwenye moyo kutokana na kuganda n.k, ingawa huwa kuna tiba zake baada ya kufanyiwa vipimo
 
Kwa uzito huu hutakiwi kuwa na changamoto hiyo, unaweza pia kutumia kutumia vinywaji vya moto kama chai n.k, tangawizi iliyopikwa, kitunguu swaumu iliyochanganywa kwenye maziwa; muhimu zaidi kufanyiwa vipimo.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom