Tatizo la Mo Dewji ni Ujanja Ujanja

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,124
3,681
Ujanja Ujanja kwa maana nyingine ni UTAPELI.

Hongereni sana Timu ya Wananchi, Dar Young Africans kwa kuvunja MKATABA wa Ndugu Djuma Shaaban na kumleta Jangwani.

Hii ndiyo maana halisi ya uwekezaji. Kununua watu ambao wanakuja kufanya kazi straightaway na sio kujifunza kazi kama zile za kina Chikwende, Mnaijeria, Kahata na wengineo.

Uwekezaji wa Mo ndani ya Simba ni wa kitapeli na wenye kutengeneza manufaa binafsi juu yake, hata Uwanja wa Timu ameshindwa kuupa jina la KLABU, ndiyo mjue mikia ni zero brain.

Hamisi Kigwangala alimaanisha sana, Ila muda utaongea.

Ni Mchezaji gani wa maana ambae Mo amewahi kumsajili kama ilivyofanya Yanga kwa Djuma Shaabani? Klabu 3 zilimtaka Djuma Shabaan.

Djuma alikiri yeye yupo tayari kwenda kokote kwenye Competitive Offer, akaweka dau lake mezani, Madam aliposikia offer hakurudi tena, alidhani ni kina Chikwende hao.

The worst part ni kuwa Djuma hakutaka any negotiation ya mshahara wake, kwa sababu anaamini katika uwezo wake. Mikia imebaki kupika majungu, eti ni mchezaji mwenye majeraha anaekaa sana nje, kama ni hivyo Madam alienda kongo kimya kimya kufanya nini?

Bakini na upupu wenu wa Bilioni 20. Timu isiyokuwa na weledi, wachezaji kulaumiwa na kusimangwa eti kwa nini wamefungwa, tunawalipa vizuri lakini bado mnafungwa; unawezaje kulaumu wachezaji kwa kigezo cha kuwalipa vizuri. Barcelona inalipa watu Bilions na bado inafungwa, nyie KENGE wa msimbazi kwa mishahara isiyozidi mil 250 kwa mwezi msifungwe kama nani.

Naiona Yanga ikileta mabadiliko ya soka Tanzania, ni suala la masiku yanayohesabika tu upepo utahama.

Tunasikia Mo anakimbizana na Makusu mchezaji ambae alishapotea muda tu, tunajua kwanini, ni utapeli na hadaa ya bei chee na uwekezaji hewa ndio umetawala.

Tunawafundisha maana halisi ya uwekezaji.

Ni wakati wa Yanga sasa, Djuma shabani ni trailer tu, Yanga inaleta vyuma vya maana bila ya kujali bei. Yanga inatema Chechee. Wiki ijayo tunatema checheee.

Kigoma. KIMOJA tu.

kimoja tu mkavurugane mbele wenyewe.

Kimoja tu, tena dakika zile zile za mwanzo.

Kimoja tu

Kimoja tu, kikipenya pyuuuuu bila maumivu

Kimoja tu
 
IMG_5607.jpg
 
Mzee mpili kawapa jeuri sana sasa mmeanza na matusi. Heshimu watu hayo mambo huja na kupita. Ushindi wenyewe wa kusaidiwa na wastaafu halafu mnapiga kelele kweli?!
Huyo djuma kapigwa na Simba nje ndani. Sasa nyie tambeni na hela za wanaume muendelee kufikiria kama duniani kuna vitu vya bure.
 
Vijana wa Yanga walishazidiwa kabisa mpaka wazee wao wameingilia Kati kuwaokoa. Ni kama kijana kachokoza watu halafu anakimbilia kwa babake ndani. Tutawasubiri labda mtembee nae muda woooteee yaani.
 
Mimi n yanga ila subira inahitajika muda n mwalimu mzuri sana

..kaeni nyumban msiende airport Tena.....
 
Ujanja Ujanja kwa maana nyingine ni UTAPELI.

Hongereni sana Timu ya Wananchi, Dar Young Africans kwa kuvunja MKATABA wa Ndugu Djuma Shaaban na kumleta Jangwani.

Hii ndiyo maana halisi ya uwekezaji. Kununua watu ambao wanakuja kufanya kazi straightaway na sio kujifunza kazi kama zile za kina Chikwende, Mnaijeria, Kahata na wengineo.

Uwekezaji wa Mo ndani ya Simba ni wa kitapeli na wenye kutengeneza manufaa binafsi juu yake, hata Uwanja wa Timu ameshindwa kuupa jina la KLABU, ndiyo mjue mikia ni zero brain.

Hamisi Kigwangala alimaanisha sana, Ila muda utaongea.

Ni Mchezaji gani wa maana ambae Mo amewahi kumsajili kama ilivyofanya Yanga kwa Djuma Shaabani? Klabu 3 zilimtaka Djuma Shabaan.

Djuma alikiri yeye yupo tayari kwenda kokote kwenye Competitive Offer, akaweka dau lake mezani, Madam aliposikia offer hakurudi tena, alidhani ni kina Chikwende hao.

The worst part ni kuwa Djuma hakutaka any negotiation ya mshahara wake, kwa sababu anaamini katika uwezo wake. Mikia imebaki kupika majungu, eti ni mchezaji mwenye majeraha anaekaa sana nje, kama ni hivyo Madam alienda kongo kimya kimya kufanya nini?

Bakini na upupu wenu wa Bilioni 20. Timu isiyokuwa na weledi, wachezaji kulaumiwa na kusimangwa eti kwa nini wamefungwa, tunawalipa vizuri lakini bado mnafungwa; unawezaje kulaumu wachezaji kwa kigezo cha kuwalipa vizuri. Barcelona inalipa watu Bilions na bado inafungwa, nyie KENGE wa msimbazi kwa mishahara isiyozidi mil 250 kwa mwezi msifungwe kama nani.

Naiona Yanga ikileta mabadiliko ya soka Tanzania, ni suala la masiku yanayohesabika tu upepo utahama.

Tunasikia Mo anakimbizana na Makusu mchezaji ambae alishapotea muda tu, tunajua kwanini, ni utapeli na hadaa ya bei chee na uwekezaji hewa ndio umetawala.

Tunawafundisha maana halisi ya uwekezaji.

Ni wakati wa Yanga sasa, Djuma shabani ni trailer tu, Yanga inaleta vyuma vya maana bila ya kujali bei. Yanga inatema Chechee. Wiki ijayo tunatema checheee.

Kigoma. KIMOJA tu.

kimoja tu mkavurugane mbele wenyewe.

Kimoja tu, tena dakika zile zile za mwanzo.

Kimoja tu

Kimoja tu, kikipenya pyuuuuu bila maumivu

Kimoja tu
Inawezekana una hoja lakini nikusaidie
Unauliza mchezaji gani wa maana kama DJuma?
Kila mchezaji ni muhumu kwa nafasi yake, luis nafasi anayocheza ni bora zaidi kama ilivyo dJuma kwa nafasi yake!
As.Vita aliyokua D Juma miaka 4 mfululizo imeishia makundi simba misimu hii4 imeingia robo fainal mara mbili!
Rudi mezani tujadili hoja!
 
Naiona Yanga ikileta mabadiliko ya soka Tanzania, ni suala la masiku yanayohesabika tu upepo utahama.
Mbona unaona peke yako? Yanga imeleta mabadiliko gani ya soka nchini? Carlinhos hakuvunjiwa mkataba? Nchimbi hakuvunjiwa mkataba? Fiston alivunjiwa mkataba? Tatizo ni kukariri kuwa mchezaji mzuri hawezi kuwa free agent, sasa nini maana ya mikataba kama inakuwa haiishi?
 
Sina cha kuchangia kwa sasa maana naona mleta Uzi kama kachanganyikiwa,badala ya kushindanisha team anashindanisha Yanga na Muhindi mmoja
 
Back
Top Bottom