Tatizo la mistari kwenye Samsung galaxy note 10.1, naomba msaada

Tatizo la mistari kwenye Samsung galaxy note 10.1, naomba msaada

Mahesabu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2008
Posts
6,762
Reaction score
6,856
Habari za majukumu wakuu, nina Samsung Galaxy Note 10.1,

1. toka jana (16 febr 2015) imeleta mistari inayocheza cheza na kama mawingu vile kwenye screen. Nimejaribu kufuta application zote na media files zote lakini bado hali ni ile ile

(jana nilijaribu kufuta adobe ikarudi normal kwa kama masaa mawili kisha ikajirudia). pia nimejaribu ku install AVG ANTIVIRUS na ku scan lakini bado. NAomba kusaidiwa utatuzi.

2. kwenye same device inashindwa ku play video hasa za facebook. inasema install adobe flash player. ukijaribu ku install inasema your device do not support

MSAADA WANATEKNOLOJIA
 
Ni Samsung Galaxy Note 10.1 Au Samsung Galaxy Tab 10.1? Mim Nna Tab 10.1, Inaletaga Izo Visa Sometimes Nikitaka Kuiwasha Na Ina Freez Sana Kupita Maelezo.

RAM Ya Hizi Device Ni Ndogo Sana Ndio Mana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom