Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,487
Nina Samsung galaxy tab 10.1, inawaka lakini ikifika kwenye logo 'SAMSUNG' ina-stuck hapo hapo. Nimejaribu ku-flash custom rom kwa kutumia Odin3 lakini ina-fail. Pia haiwezi hata kwenda kwenye hard reset. The only option unapata ni when unabonyeza power button + volume down kwa sekunde kama tano. Then inaenda kwenye option ya ku-download custom rom, lakini ndiyo hivyo ina-fail kama nilivyoeleza hapo juu. Naomba msaada wakuu. Kihistoria, nilishawahi kui-root. Nikaitumia kwa muda tu. Baadae nikaona inavamiwa sana na apps za ajabu ajabu zinaji-install easly. Nikaamuwa ku-flash custom rom, nikaweka nyingine. Imepiga mzigo for 2 years fresh tu. Lakini sasa ndiyo hivyo wakuu. Naomba msaada wenu wakuu. Asanteni.