Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Ni mwaka wa pili sasa hili tatizo linanitesa mpaka nimekata tamaa ya kuzunguka hospital zote bila kujua tatizo ni nini, jamani msaada wenu mwenzenu hii hali inanitesa sana.
Mkuu kabiliana tu na Hali yako kwasababu iyo Hali ni urithi geneticsNi mwaka wa pili sasa hili tatizo linanitesa mpaka nimekata tamaa ya kuzunguka hospital zote bila kujua tatizo ni nini, jamani msaada wenu mwenzenu hii hali inanitesa sana.
Huwa unatumia dawa ganHata mimi nina tatizo hilo kama lako, hasa nikiamka asubuhi...
Ulitumia dawa gan jmn natesekaWe komaa, niliexperience hiyo kitu kwa zaidi ya miaka 11+.
Ahsante naenda kuinunua sasa HV kkTumia Sensodyne
MkuuWe komaa, niliexperience hiyo kitu kwa zaidi ya miaka 11+.
Situmii dawa yoyote..Huwa unatumia dawa gan
Kwahiyo tatizo bado unaloSitumii dawa yoyote..
Na hata situmii kilevi cha aina yoyote ile na sijawahi tu..
Yeah japokua mara mosimosi sana linatokea... Mwishoe nshazoea tu..Kwahiyo tatizo bado unalo
Sawa Broo nashukuruIyo ni fungus aisee kunywa fluconazole