Tatizo la kuzimia kila nifikapo kileleni (Ejacalation)

Rukaka2020

Senior Member
Jun 20, 2020
137
632
Wadau tangu mwaka huu umeanza nimeanza kuexiperience hali hii ya kukata moto mara tu ninapofika kileleni wakati wa tendo.

Hali hii imenishtua sana kiasi kwamba ninaogopa na ninaona aibu hata kwenda hospitali.

Ninaamini kuwa kuna ambaye ana uzoefu na changamoto hii anaweza kunipa ushauri wa dawa au hatua ya kuchukua.

Asanteni sana.
 
Wadau tangu mwaka huu umeanza nimeanza kuexiperience hali hii ya kukata moto mara tu ninapofika kileleni wakati wa tendo.

Hali hii imenishtua sana kiasi kwamba ninaogopa na ninaona aibu hata kwenda hospitali.

Ninaamini kuwa kuna ambaye ana uzoefu na changamoto hii anaweza kunipa ushauri wa dawa au hatua ya kuchukua.

Asanteni sana.
Nilivyoandika Ejaculation nilidhani nitaeleweka,
OK. Mimi ni jinsia ME
 
Wadau tangu mwaka huu umeanza nimeanza kuexiperience hali hii ya kukata moto mara tu ninapofika kileleni wakati wa tendo.

Hali hii imenishtua sana kiasi kwamba ninaogopa na ninaona aibu hata kwenda hospitali.

Ninaamini kuwa kuna ambaye ana uzoefu na changamoto hii anaweza kunipa ushauri wa dawa au hatua ya kuchukua.

Asanteni sana.
Baada ya kuzimia unachukua mda gani kuzinduka. Haki ya mungu au shahaw zako zikikutana naza mwenzio zinatengeneza spack
 
Mh!! Mkuu mpenzi wangu na yeye ana hii hali yeye huwa akifika anatulia kama sekunde 90 hivi kimya na ukimshika kumuamsha yaani anakuwa kalegea vibaya mno na mapigo ya moyo huwa madogo sana, nimezunguka kwa madaktari wa magonjwa ya wanawake na wale ambao siyo ya wanawake ila majibu yao yanafanana. Kuwa hakuna jina halisi la hali hiyo ila walinipa maelezo ambayo kutokana na hizo terminology niliambulia kidogo tu.

"Pindi mtu anapokuwa anafika kileleni , mapigo ya moyo huwa yanaongezeka sana na moyo huwa unapiga kwa nguvu sasa kwa nyie ambao mna hilo tatizo ni kwamba moyo wenu huwa unashindwa kuhimili msukumo huo na kupelekea kusimama ukiwa umekaza (contract) hii inapunguza msukumo wa damu kwenye ubongo na hivyo kupelekea damu yenye oxygen kupungua kwenye ubongo hali hii ndiyo hupekea wewe kuzimia.

Kikubwa walichoniambia ni kuwa huwa inakuja kuacha yenyewe ila muda halisi inategemeana na mtu mwenyewe, hope Mungu atakusaidia mkuu ,hali hiyo ilikuwa inanitisha sana mwanzo ila nimeshaizoea .
 
Ukijiona upo na kipa nenda slow motion hafu kama unapuuza flani hivi ukizoea tatizo litaisha

Mimi nlikua natatizo la kuupuzia nlikua napata shida sana kuludi kambani nikapewa ushauri wa kusikilizia nikanza kuwahi mpaka nikapata tatizo la kutoa sauti hadi nazibwa mdomo hilo nalo nimelishinda shida ipo ku controo muda sasa
 
Mh!! Mkuu mpenzi wangu na yeye ana hii hali yeye huwa akifika anatulia kama sekunde 90 hivi kimyaa na ukimshika kumuamsha yaani anakuwa kalegea vibaya mno na mapigo ya moyo huwa madogo sana , nimezunguka kwa madaktari wa magonjwa ya wanawake na wale ambao siyo ya wanawake ila majibu yao yanafanana. Kuwa hakuna jina halisi la hali hiyo ila walinipa maelezo ambayo kutokana na hizo terminology niliambulia kidogo tu.
Asante sana ndugu, umefanyika msaada mkubwa sana
 
Mimi mawazo yangu yameenda kwa huyo unae kuwa nae wewe ukizimia yeye anakua kwenye situation gani ? Especially kama ndio mmekutana kwa mara ya kwanza 🤔
 
Ungekuwa ME ningehisi labda ni shida ya damu haitoshi.......ikihamia kwenye kichwa cha chini, kichwa cha juu kinakuwa matatani! Nenda hosp haraka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom