Nkwama welding
Member
- Oct 2, 2011
- 61
- 12
Namba msaada wa mawazo,nasumbuliwa na tatizo la kuwashwa masikio kwa muda mrefu{miaka 5} hospitali nilipewa vidonge na eardrops havikusaidia,yanawasha kavukavu hayatoi maji. naomba mawazo yenu.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us