Tatizo la kuvimba miguu

Nima Imma

JF-Expert Member
May 14, 2015
2,473
3,624
Hellow

Kuna jambo linanitatiza. Nilisafiri October last year nilitoka Dar kwenda Moshi nilipofika asubuhi miguu ikawa imevimba (kwa chini si mguu wote) wakaniambia ni safari itakaa sawa ndio mara ya kwanza kuvimba mguu.

Juzi kwenye mkesha wa mwaka mpya kanisani ,asubuhi naona miguu imevimba tena na haina maumivu, jioni ya tarehe moja ikawa sawa.

Uzito: Nimepungua kutoka 95 - 75 kgs.
Wapendwa shida yaweza kuwa nini haswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow

Kuna jambo linanitatiza. Nilisafiri October last year nilitoka Dar kwenda Moshi nilipofika asubuhi miguu ikawa imevimba (kwa chini si mguu wote) wakaniambia ni safari itakaa sawa ndio mara ya kwanza kuvimba mguu.

Juzi kwenye mkesha wa mwaka mpya kanisani ,asubuhi naona miguu imevimba tena na haina maumivu, jioni ya tarehe moja ikawa sawa.

Uzito: Nimepungua kutoka 95 - 75 kgs.
Wapendwa shida yaweza kuwa nini haswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tafadhali elezea kiundani zaidi

je kwenye uvimbe ukibonyeza kuna vishimo hutokeza na kupotea baada ya muda mchache?

Unajisikia maumivu yeyote yale sehemu nyingine ukiachana na miguu?

Vipi kuhusu joto lako la mwili?

Chakula unakula kama kawaida au kuna mabadiliko?

Vipi kuhusu kukojoa? unakojoa kama kawaida au umeongeza route za kwenda chooni?

Pia kuvimba kwa miguu kuna utofauti wa asubuhi unapoamka,mchana na usiku unapolala? namaanisha size ya uvimbe kwa ujumla

Unajihisi kuchoka na kupumua kwako kukoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.ndio mkuu kunabonyea ila si sana
2.hapana
3.lipo sawa kabisa
4.muda mwingi nakosa appetite kabisa najilazimisha tu kula
5.nakojoa kama kawaida
6.ikivimba ni aina moja tu kisha uvimbe unaisha basi
7.kupumua kuko sawa kabisa sna uchovu

Kipindi cha nyuma kabla sijapunguza uzito nilisumbuliwa sana na ganzi na miguu kuwaka moto muda wa usiku kama mchana nilitembea umbali kiasi ila baadae nilipopunguza uzito nikakaa sawa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa maswali ,nimeshakujibu mkuu
Mkuu tafadhali elezea kiundani zaidi

je kwenye uvimbe ukibonyeza kuna vishimo hutokeza na kupotea baada ya muda mchache?

Unajisikia maumivu yeyote yale sehemu nyingine ukiachana na miguu?

Vipi kuhusu joto lako la mwili?

Chakula unakula kama kawaida au kuna mabadiliko?

Vipi kuhusu kukojoa? unakojoa kama kawaida au umeongeza route za kwenda chooni?

Pia kuvimba kwa miguu kuna utofauti wa asubuhi unapoamka,mchana na usiku unapolala? namaanisha size ya uvimbe kwa ujumla

Unajihisi kuchoka na kupumua kwako kukoje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda hospitali ukaangalie presha yako kama iko Sawa. Iwapo ukibonyeza mguu unabonyea kama papai na kurudi kawaida baada ya muda mfupi, huenda ikawa shida kwenye moyo na unahitaji kuonwa na daktari.

Otherwise ni kawaida Kwa baadhi ya watu kuvimba miguu baada ya kukaa muda mrefu (kama ukiwa safarini). Hii inasababisha kubakia na maji mengi kwenye tissue.

Kama hauna utaratibu wa kufanya mazoezi, ungeweza kuanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda hospitali ukaangalie presha yako kama iko Sawa. Iwapo ukibonyeza mguu unabonyea kama papai na kurudi kawaida baada ya muda mfupi, huenda ikawa shida kwenye moyo na unahitaji kuonwa na daktari.

Otherwise ni kawaida Kwa baadhi ya watu kuvimba miguu baada ya kukaa muda mrefu (kama ukiwa safarini). Hii inasababisha kubakia na maji mengi kwenye tissue.

Kama hauna utaratibu wa kufanya mazoezi, ungeweza kuanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je na kwa mama mjamzito kuvimba miguu pia ni Nini chanzo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda hospitali ukaangalie presha yako kama iko Sawa. Iwapo ukibonyeza mguu unabonyea kama papai na kurudi kawaida baada ya muda mfupi, huenda ikawa shida kwenye moyo na unahitaji kuonwa na daktari.

Otherwise ni kawaida Kwa baadhi ya watu kuvimba miguu baada ya kukaa muda mrefu (kama ukiwa safarini). Hii inasababisha kubakia na maji mengi kwenye tissue.

Kama hauna utaratibu wa kufanya mazoezi, ungeweza kuanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa kunipa muongozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow

Kuna jambo linanitatiza. Nilisafiri October last year nilitoka Dar kwenda Moshi nilipofika asubuhi miguu ikawa imevimba (kwa chini si mguu wote) wakaniambia ni safari itakaa sawa ndio mara ya kwanza kuvimba mguu.

Juzi kwenye mkesha wa mwaka mpya kanisani ,asubuhi naona miguu imevimba tena na haina maumivu, jioni ya tarehe moja ikawa sawa.

Uzito: Nimepungua kutoka 95 - 75 kgs.
Wapendwa shida yaweza kuwa nini haswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la Kuivimba miguu huendalinasababishwa na wewe una kilo nyingi au una matatizo kwenye figo lako halifanyi kazi vizuri amka asubuhi kabla ya kula kitu kinga mkojo wako upeleke hospitali wakapime figo lako je linafanya kazi yake vizuri?kishanjoo hapa utupe majibu yako wamesemöaje huko Hospitali? Dawa zaAsili zipo.
 
Hellow

Kuna jambo linanitatiza. Nilisafiri October last year nilitoka Dar kwenda Moshi nilipofika asubuhi miguu ikawa imevimba (kwa chini si mguu wote) wakaniambia ni safari itakaa sawa ndio mara ya kwanza kuvimba mguu.

Juzi kwenye mkesha wa mwaka mpya kanisani ,asubuhi naona miguu imevimba tena na haina maumivu, jioni ya tarehe moja ikawa sawa.

Uzito: Nimepungua kutoka 95 - 75 kgs.
Wapendwa shida yaweza kuwa nini haswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nione PM nikusaidie ama tuwasiliane kwa namba hizi 0620258276 free consultation ukifika ofisn
 
Back
Top Bottom