ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Juzi nilienda hospitali kupima mbegu za kiume na uwezo wako cha ajabu ni kuwa nilikutwa na mbegu 18milion pia doctar akanimbia kuwa pia ni tatizo inabidi nipewe dawa kusudi niwe na uwezo wa kuzalisha.je tatizo linasabishwa na nini je tiba yake nini.