Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,230
Pata wasiwasi tu...ww lazima utumie si jamaa wengiNaanza kupata wasi wasi
Pata wasiwasi tu...ww lazima utumie si jamaa wengiNaanza kupata wasi wasi
Mkuu kimbia kabisa haraka kwa daktariNdugu zangu,
Nimemaliza kufanya tendo la ndoa, lakini cha ajabu hizi shahawa zangu zimetoka na damu, hali hii imeniogopesha kuendelea na tendo la ndoa.
Ndugu zangu je hii hali ya shahawa kutoka na damu ni hali ya kawaida au nitakuwa na tatizo? Bao la kwanza hali ilikuwa hivihivi bao la pili hali bado ni vilevile yaani unaona shahawa lakini zinadamu mbichi kabisa.
Msaada ndugu zangu wa mawazo ushauri tafadhari maana huyu mwanamke niliye naye ningekuwa simfahamu ningesema labda nimekutana na jini.
Pata wasiwasi tu...ww lazima utumie si jamaa wengi
pole sana kijana! hiyo inawezekana asilimia mia moja umevunja dushe lako! nenda kafunge muhogoNdugu zangu,
Nimemaliza kufanya tendo la ndoa, lakini cha ajabu hizi shahawa zangu zimetoka na damu, hali hii imeniogopesha kuendelea na tendo la ndoa.
Ndugu zangu je hii hali ya shahawa kutoka na damu ni hali ya kawaida au nitakuwa na tatizo? Bao la kwanza hali ilikuwa hivihivi bao la pili hali bado ni vilevile yaani unaona shahawa lakini zinadamu mbichi kabisa.
Msaada ndugu zangu wa mawazo ushauri tafadhari maana huyu mwanamke niliye naye ningekuwa simfahamu ningesema labda nimekutana na jini.
Kwa takribani miezi kadhaa sasa tumekuwa tukilalamika kwamba tuwe na nidhamu tunapochangia mawazo ya mtu mwingine mwenye matatizo ili suluhisho liweze kupatikana kwa kuwa hili ni jukwaa mahsusi au great thinkers..sasa kwa uchangiaji wako sidhani kama utasaidia kuleta suluhisho zaidi ya kuchekesha tu..tujitahidi kuwa na nidhamu hata kidogo basi.Umetoa bikra ...
haaaaa mamaa sikua guest wala nini nikomresi na maisha nimefrah kukukuta na id yako ileile ya zamani nakukumbukaga sana wallah i miss uweee miss you a lot hebu tafuta mahali pazuri tutoke hapa guest uniambie za kupotea shosti
Umeongea point sana Mungu akubarikiKwa takribani miezi kadhaa sasa tumekuwa tukilalamika kwamba tuwe na nidhamu tunapochangia mawazo ya mtu mwingine mwenye matatizo ili suluhisho liweze kupatikana kwa kuwa hili ni jukwaa mahsusi au great thinkers..sasa kwa uchangiaji wako sidhani kama utasaidia kuleta suluhisho zaidi ya kuchekesha tu..tujitahidi kuwa na nidhamu hata kidogo basi.
Hayo ndio madhara ya kuvaa condom ungepiga dry yote usingeona
Duh!!!Kamuone dr haraka pumbavuuu in Ray Kigosi voice
Jingaa kabisa
Ohoooo!!mkuu jbu mubashara,tena niongezee shenzy kbsa mda huu upo guest?? yatoke mabonge kbsa shwain!!!!!
Nidanganye ili iweje kwa mfano!Bao la kwanza limetoka na damu , la pili hali kadhalika, ilibidi iushie la kwanza tu, we itakuwa ni muongo
Asante,Nimeacha kuanzia Leo Mungu anisamehehahahahaha mungu a nakupenda mkuu acha. uzinzi
Kama kweli ni dalili za gono basi sawa ngoja niwai tiba, asante kwa ushauriUmeshapewa gonorrhea wewe
Hapana Mkuu ushauri wako hapanaMkuu, utafiti wa kisayansi unaonesha huna tatizo kabisa kiafya, ila utazaa mazombie, wanao watapenda sana kunywa damu kuliko hata gongo!! vuta shuka upige bao la3
Asante Mkuu kwa ushauriUTI ya mwendo kasi.wahi hospital bro
Hayo ndio madhara ya kuvaa condom ungepiga dry yote usingeona