stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
Habari zenu wakuu.
Naomba kuwasilisha hili tatizo langu ambalo nakosa namna ya kulikabili. Tatizo lenyewe ni kwamba kila wakati nikianza kusoma. Sikai Muda mrefu naanza kuhisi usingizi wa hatari. nisipogundua najikuta nimeshalala.
Sasa sijajua tatizo limo wapi na nitalitatua vipi. maana ninashindwa kufanya mambo mengine.
Naombeni kuwasilisha hili tatizo.
Wasalaam.
Naomba kuwasilisha hili tatizo langu ambalo nakosa namna ya kulikabili. Tatizo lenyewe ni kwamba kila wakati nikianza kusoma. Sikai Muda mrefu naanza kuhisi usingizi wa hatari. nisipogundua najikuta nimeshalala.
Sasa sijajua tatizo limo wapi na nitalitatua vipi. maana ninashindwa kufanya mambo mengine.
Naombeni kuwasilisha hili tatizo.
Wasalaam.