KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,881
- 4,510
Usitutishe banaBoss niko nafanya kazi kwenye kituo cha Afya.bora kumwambia mtu ajijue awalinde na wengine hasa wazee zaidi
Usitutishe banaBoss niko nafanya kazi kwenye kituo cha Afya.bora kumwambia mtu ajijue awalinde na wengine hasa wazee zaidi
Hapa nilipo nimefanikiwa kupata chumvi ya mawe.Sasa miguu naloweka kwa mda gani,i mean dakika ngap?
Asante.But miguu inawaka mpka mapajani kabsa,hapo inakuwaje sasa maana kuloweka mpka mapajan naona kama ni ngumuUnaweka kwa 10 - 15seconds unatoa, unarudia kama x15 hivi. Maji usipooze sana.
Asante.But miguu inawaka mpka mapajani kabsa,hapo inakuwaje sasa maana kuloweka mpka mapajan naona kama ni ngumu
Hii ni serious case Mkuu, nilijua ni kwenye nyayo tu.
Sawa nifike hospital nikaone shida ni nini.
Kipimo gani sasa itabid nipime?Hyo itakuwa ni option nzuri.
Kipimo gani sasa itabid nipime?
Sawa mkuuDah hapo sijui labda wataalamu waje
Hii hali inatesa sana kwakweli..
Mimi nilianza kujisikia vibaya tarehe moja nikawa nahisi kama nina homa kali na kichwa kinauma balaa, nikaenda kupima nikaambiwa niko fresh lakini nikapewa diclopar ili kutuliza maumivu ya kichwa lakini mpaka leo pua zimepoteza uwezo wa kunusa na kutambua kama hapa kuna harufu nzuri au mbaya siku ya tisa leo na chakula sijwahi pata ladha yake toka Siku hiyo mpaka leo yaani nakula tu il nisife
Jumatatu iliyopita nilipatwa kama na chenga kwenye koo, mara jion yake nabanja, usiku teyari na mafua makali, nshtuka alfajiri nakoaa kimtindo, nikaona hizi fluu za kawaida, jumanne sijui ni muda gani ila kichwa kilikua kinaniuma kupita maelezo, nikiangalia mwanga maumivu makali, nikitagusa macho yanauma, nikiinama kama kichwa kinaangu na macho yanataka kuchomoka, nilishindwa kula chakula cha usiku na usiku sikulala nilikua na homa kali kama nakufa(nakiri ni nusu ya kifo),jumatano Asubuh nikakimbilia usipitali, nikapima vipimo vingi sikua na tatizo hata moja, nikapewa dawa za maumivu nikapata nafuu jtano usiku na alhamis, ijumaa ngoma iko palepale.Mimi nilianza kujisikia vibaya tarehe moja nikawa nahisi kama nina homa kali na kichwa kinauma balaa, nikaenda kupima nikaambiwa niko fresh lakini nikapewa diclopar ili kutuliza maumivu ya kichwa lakini mpaka leo pua zimepoteza uwezo wa kunusa na kutambua kama hapa kuna harufu nzuri au mbaya siku ya tisa leo na chakula sijwahi pata ladha yake toka Siku hiyo mpaka leo yaani nakula tu il nisife.
Pole Sana mkuu hiki kirusi kipo japo Kuna baadhi wanabeza, waombe Sana Mungu kisiwapate maana kinakuja kwa nguvu Sana mwiliniJumatatu iliyopita nilipatwa kama na chenga kwenye koo, mara jion yake nabanja, usiku teyari na mafua makali, nshtuka alfajiri nakoaa kimtindo, nikaona hizi fluu za kawaida, jumanne sijui ni muda gani ila kichwa kilikua kinaniuma kupita maelezo, nikiangalia mwanga maumivu makali, nikitagusa macho yanauma, nikiinama kama kichwa kinaangu na macho yanataka kuchomoka, nilishindwa kula chakula cha usiku na usiku sikulala nilikua na homa kali kama nakufa(nakiri ni nusu ya kifo),jumatano Asubuh nikakimbilia usipitali, nikapima vipimo vingi sikua na tatizo hata moja, nikapewa dawa za maumivu nikapata nafuu jtano usiku na alhamis, ijumaa ngoma iko palepale.
Ikabidi nitafute hospital inayopima "covid" haraka sana. Nikapimwa nikakutwa nayo na typhoid. Hali ninayihisikia ni mbaya, covid siyo mchezo isikie tu kwa jiran. Na ni mbaya ikikupata ukiwa na kaugonjwa kengine kamejificha.
Mpaka leo sijakaa sawa sema la ukweliPole Sana mkuu hiki kirusi kipo japo Kuna baadhi wanabeza, waombe Sana Mungu kisiwapate maana kinakuja kwa nguvu Sana mwilini