Tatizo la kupoteza uwezo wa kunusa (Kutosikia harufu): Fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

Kaka samahani ntumie namba yako tuyajenge na mm nina tatizo kama lako
Mimi nilianza kujisikia vibaya tarehe moja nikawa nahisi kama nina homa kali na kichwa kinauma balaa, nikaenda kupima nikaambiwa niko fresh lakini nikapewa diclopar ili kutuliza maumivu ya kichwa lakini mpaka leo pua zimepoteza uwezo wa kunusa na kutambua kama hapa kuna harufu nzuri au mbaya siku ya tisa leo na chakula sijwahi pata ladha yake toka Siku hiyo mpaka leo yaani nakula tu il nisife
 
Mimi nilianza kujisikia vibaya tarehe moja nikawa nahisi kama nina homa kali na kichwa kinauma balaa, nikaenda kupima nikaambiwa niko fresh lakini nikapewa diclopar ili kutuliza maumivu ya kichwa lakini mpaka leo pua zimepoteza uwezo wa kunusa na kutambua kama hapa kuna harufu nzuri au mbaya siku ya tisa leo na chakula sijwahi pata ladha yake toka Siku hiyo mpaka leo yaani nakula tu il nisife.
Jumatatu iliyopita nilipatwa kama na chenga kwenye koo, mara jion yake nabanja, usiku teyari na mafua makali, nshtuka alfajiri nakoaa kimtindo, nikaona hizi fluu za kawaida, jumanne sijui ni muda gani ila kichwa kilikua kinaniuma kupita maelezo, nikiangalia mwanga maumivu makali, nikitagusa macho yanauma, nikiinama kama kichwa kinaangu na macho yanataka kuchomoka, nilishindwa kula chakula cha usiku na usiku sikulala nilikua na homa kali kama nakufa(nakiri ni nusu ya kifo),jumatano Asubuh nikakimbilia usipitali, nikapima vipimo vingi sikua na tatizo hata moja, nikapewa dawa za maumivu nikapata nafuu jtano usiku na alhamis, ijumaa ngoma iko palepale.

Ikabidi nitafute hospital inayopima "covid" haraka sana. Nikapimwa nikakutwa nayo na typhoid. Hali ninayihisikia ni mbaya, covid siyo mchezo isikie tu kwa jiran. Na ni mbaya ikikupata ukiwa na kaugonjwa kengine kamejificha.
 
Jumatatu iliyopita nilipatwa kama na chenga kwenye koo, mara jion yake nabanja, usiku teyari na mafua makali, nshtuka alfajiri nakoaa kimtindo, nikaona hizi fluu za kawaida, jumanne sijui ni muda gani ila kichwa kilikua kinaniuma kupita maelezo, nikiangalia mwanga maumivu makali, nikitagusa macho yanauma, nikiinama kama kichwa kinaangu na macho yanataka kuchomoka, nilishindwa kula chakula cha usiku na usiku sikulala nilikua na homa kali kama nakufa(nakiri ni nusu ya kifo),jumatano Asubuh nikakimbilia usipitali, nikapima vipimo vingi sikua na tatizo hata moja, nikapewa dawa za maumivu nikapata nafuu jtano usiku na alhamis, ijumaa ngoma iko palepale.

Ikabidi nitafute hospital inayopima "covid" haraka sana. Nikapimwa nikakutwa nayo na typhoid. Hali ninayihisikia ni mbaya, covid siyo mchezo isikie tu kwa jiran. Na ni mbaya ikikupata ukiwa na kaugonjwa kengine kamejificha.
Pole Sana mkuu hiki kirusi kipo japo Kuna baadhi wanabeza, waombe Sana Mungu kisiwapate maana kinakuja kwa nguvu Sana mwilini
 
Back
Top Bottom