Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

Jenga tabia ya kula ndizi mbivu mara kwa mara na kunywa maziwa hasa mtindi. baada ya siku nne utakuwa poa,
 
Unatakiwa unywe maji ya kutoxha at leaxt 3lts a day pluz maparachichi kuondoa hiyo constipation...
 
Lina wiki sasa

ok inaonekana kabla ya hapo kuna dawa ulitumia sasa hiyo imekuwa side effect kama ni kweli nenda famasi nunua dawa ya kupata choo laini, baada ya hapo nunua papai lililoiva sana kula na maji kwa wingi. Ilishawahi kunitokea mimi nilimeza flajili choo kikawa ili kuzua kuharisha matokea nikawa najisaidia tofali
 
ok inaonekana kabla ya hapo kuna dawa ulitumia sasa hiyo imekuwa side effect kama ni kweli nenda famasi nunua dawa ya kupata choo laini, baada ya hapo nunua papai lililoiva sana kula na maji kwa wingi. Ilishawahi kunitokea mimi nilimeza flajili choo kikawa ili kuzua kuharisha matokea nikawa najisaidia tofali

Asante
 
Sina shaka hamjambo members.

Nisaidieni chanzo cha tatizo hili na utatuzi wake: Binti yangu mwenye umri wa miaka miwili anapata choo kikubwa kigumu mara zote. Kuna dawa nimewahi kumpa kwa ushauri wa pharmacist fulani,ni vidonge ambapo anameza kimoja na kupata choo laini,lakini baada ya siku mbili hivi anaanza kupata choo kigumu tena.

Katika muendelezo huo,hivi sasa anaonekana kupata maumivu ya tumbo,hali inayompelekea kulia sana hasa usiku. Si muda mrefu sana(takriban miezi miwili) alitumia dawa za minyoo na sasa anamalizia co-trimoxazole baada ya kumpima mkojo na kugundulika kuwa ni mchafu kiasi.

Ana tabia ya kula udongo anapocheza mbali na uangalizi.

Nisaidieni jamani.
 
asile vitu vigumu sana au akila akikisha anakula na vimiminika vya kutosha mfano juisi na maji
vile vile kumbuka mpe matunda mengi ya roughage namaanisha matunda yeny nyuzinyuzi ambayo ni machungwa, maembe, ndizi, na matunda yoote

kumbuka akikisha binti yako anakula vitu vya majimaji sana ili kuzuia constipation

kingine fanya mpango asile udongo ili kumkinga na minyoo ya ascariasis na tafuta dozi ya minyoo kila baada ya miezi mitatu

zingatia LickSamba
 
Last edited by a moderator:
Ahsante Gobe kwa couselling maridhawa. Lakini anakunywa maji vizuri sana huyu dogo,kwa matunda anapenda ndizi mbivu,chungwa na tikitimaji.
Nitaongeza juhudi katika kufuata ushauri wako na wa wengine nitakapoupata.
 
Habari zenu humu ndani.

Baada ya salam, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.

Nina mtu wangu wa karibu ana hilo tatizo tajwa hp juu.

Mwenzangu huyu kupata choo kwake imekua nadra sana, yani anamaliza week bila kunya, na akinya (mfano jana) basi ni kidogo sana.

Tatizo hili inaonyesha ni la muda mrefu sana lkn mwenyewe inaelekea halipi kipaumbele.

kwani tangu nianze kumchunguza tayari yafika mwaka sasa na muona akiendelea na hali hiyo.

Tena mwenyewe hapendi watu wajue, maana hata mm nimejua kutokana na ukaribu wetu kama wapenzi.

kwahiyo kwakuzingatia humu wataalam wa Afya hutembelea nikaona sio mbaya nikaileta Wenda nikapata mwanzo wa kumsaidia.

kama kunamtu anafahamu hilo ni tatizo gani linasababishwa na nini anaweza kutusaidia.

Ahsanteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom