Habari za leo wakuu, kuna shida moja katika upatikanaji wa AVN kwa wahitimu katika ngazi ya stashahada, hasa katika baadhi ya kozi zinazotolewa na baadhi ya taasisi za elimu.
Mimi ni mhitimu wa kozi ya UALIMU ELIMU YA UFUNDI SECONDARY ngazi ya stashahada, niliomba AVN nikapewa lakini kila nikiomba chuo naletewa details za matokeo yangu zinazoonesha GPA ya 0.0 tena nilipewa mara mbili lakini tatizo liko palapale, hili Ni tatizo kwa mamlaka husika.
Tafadhali kama kuna wahusika wa hiyo mamlaka WEKENI MFUMO WENU VIZURI. Kumbukeni kuwa muda wa kuomba vyuo umebaki kidogo sana.
Kwa ushauri wangu, bora huo mfumo utupiliwe mbali maana umetukera sana.
Ahsante.
Mimi ni mhitimu wa kozi ya UALIMU ELIMU YA UFUNDI SECONDARY ngazi ya stashahada, niliomba AVN nikapewa lakini kila nikiomba chuo naletewa details za matokeo yangu zinazoonesha GPA ya 0.0 tena nilipewa mara mbili lakini tatizo liko palapale, hili Ni tatizo kwa mamlaka husika.
Tafadhali kama kuna wahusika wa hiyo mamlaka WEKENI MFUMO WENU VIZURI. Kumbukeni kuwa muda wa kuomba vyuo umebaki kidogo sana.
Kwa ushauri wangu, bora huo mfumo utupiliwe mbali maana umetukera sana.
Ahsante.